Wema Sepetu anavyomdekea Idris Sultan chumbani

huielewu=hailewi
Sijui shule mlienda kusomea ujinga?
Hailewi ni nini na wewe kaa kimya acha kujiona mjuaji wakati nawe mbugila tu.
HAIELEWI
Ndicho alichotaka kukisema Faiza...
Ama kweli mganga hajigangi...kukosoa kote watu kumbe nae hukosea!
Imebidi tumgange wengine...[emoji12]
 
Mimi mbona sioni tatizo la Wema jamani?
Kwahiyo asideke kama yupo wa kumdekea?
Binafsi sipendi dawa kabisa...hivyo mambo kama hayo ni kawaida sana.
#DekaNikudekeze
 
Hailewi ni nini na wewe kaa kimya acha kujiona mjuaji wakati nawe mbugila tu.
HAIELEWI
Ndicho alichotaka kukisema Faiza...
Ama kweli mganga hajigangi...kukosoa kote watu kumbe nae hukosea!
Imebidi tumgange wengine...[emoji12]
Wee umeamka na hangover?soma sentensi nzima aliyoandika FF ndo ufoke povu hapa.
 
Kuna mijitu humu huielewi halwa ni nini.

Sentensi ya Faiza hii hapa.
Ikiwa na kosa la neno huielewi (Akimaanisha...kuna mijitu humu HAIELEWI halwa ni nini.)

huielewu=hailewi
Sijui shule mlienda kusomea ujinga?

Wewe hapa ukatoa boko...badala ya kumsahihisha ukaboronga zaidi.
Hailewi unajua maana yake?
Kwani halwa ni kilevi hadi Faiza aseme hiyo mijitu hailewi?

Hailewi ni nini na wewe kaa kimya acha kujiona mjuaji wakati nawe mbugila tu.
HAIELEWI
Ndicho alichotaka kukisema Faiza...
Ama kweli mganga hajigangi...kukosoa kote watu kumbe nae hukosea!
Imebidi tumgange wengine...[emoji12]

Nikawasahihisheni nyote hapa...

Wee bwege umeamka na hangover?soma sentensi nzima aliyoandika FF ndo ufoke povu hapa.

Punguza jazba...kukosea ni jambo la kawaida tu.
Kubali kurekebishwa.
 
Le mbebez hajatoa tamko rasmi la HALUA HALUA?!
 

Ameeni ujumbe kuntu
 
Apewe tu halua maake hamna namna tena,nasubiri part 2 je Wema alipewa halua?
 
au ni kile kipindi chake cha my shoes?
 
lakini Mungu aliimuumbia sauti sautika sauti zaidi ya halua halua sauti yako tulizo la moyo hakika pia unajua kuitumia kuangamiza wale wenye masikio yenye kupenda sauti tamuuuuuuuuuuuuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…