Wema Sepetu aonesha alama ya Freemason liveeee!

Bongo movie ni hatari sana wale vijana full ngonoka na ufuska na uswahili kwenda mbele usisahau ulozi
 

Mim huwa siamini habari ya upande mmoja,kama Aunt hakupatikana walikua na ulazima gani wa kuiandika habari hii
 
Huu ni udaku per sec...
Aneyejua mimba ni ya nani ni mwannamke ...so funguka
 
makuzi tu, kwnza iyo picha imeeditiwa na kuongeza icho kidole,, kila kitu freemason, ushamba uo.
 
yaani bongo bana,filimason,filimason! hivi hii singo bado inabamba!? teh,teh!
kwa watu wanao amini mungu hawatochoka kuwazungumzia hawa jamaa(freemasons) hata kama si wote wanafanya yale ambayo mungu ameagiza tufanye na kuacha yale aliyokataza .Ndugu rejea itabu vitakatifu ususni biblia kwenye vitabu vya ufunuo na injili hawa watu wametabiriwa.Jaribu kuangalia matukio yote makubwa yanayogusa jamii duniani then compare na maandiko hapo utapata mwanga kwanini kila mtu freemason freemason ni kwa sababu ya hofu ya watu juu ya hawa jamaa kutuletea utawala wa lucifer waziwaz na kushurutisha .Kama nimeongea pumba sawa kwani LUTU na NOAH waliambiwa hivyo hivyo japo mi si nabii .FIGHT FOR YOUR EVERLASTING LIFE IN JESUS NAME.AMEN
 
Hivi wabongo freemason mmeijua mwaka jana nini.? Kila celeb w kibongo sasa hvi mnasema ni masonic, hvi mnajua kwamba freemason sio kama mnavyoichukulia nyie., its not that simple.. Kuna hadhi ya watu na vigezo vya kuingia freemason.. Kwanzia pesa uliyonayo na power uliyozaliw nayo kumanipulate watu.. Kibongobongo sidhani kama kuna artist mwenye uwezo huo, wataishia kwa waganga wao tu kutafuta mafanikio. Deep in ujue vizuri vigezo vya freemason ndio utaelewa.. Wema hiyo ni wazi alitaka ku-make headlines., mbona mnataka kusahau kwamba yy ni Mrs.magazeti?
 
Mtamjuaje na yeye anapesa na hana kazi? Mwacheni azuge mjini hapa....
 
Freemason na nyumba za kupanga wapi na wapi?
Umaarufu unawasumbua tu
freemason sio kazi ndogo kama unavofikiri
ni level ya kibilionea
 
.... huyo anapenda kutengeneza stori kwenye magazeti, hakuna kitu hapo......!
 
wavivu wa kufikiri watajiunga sana freemason ili wapate easy cash.the scripture must be fulfilled
 
Wema awe freemason kwa utajiri upi alokua nao??
 
free mason haina jinsiayoyote anaweza kua free mason after all ni makubaliano yako na shetani kwamba atakupa utajiri wewe utampa roho yako na kumsaidia kukusanya roho nyingine kupeleka motoni huo ndio uhalisia wa free mason ambao mungu wao ni Lucifer
 
Roho yake ndio utajiri wake ni matter of consideraions tu unataka mali yes nataka mali nie ntakupa kila unachotaka Dunia hii kwa "undisclosed cost" utaijua ukishakula kiapo na hapo ndipo utakundua kwamba huna power to reject, hapo ndipo unapoambiwa gharama ya utajiri ulionao ni roho yako na zile nyingine ulizotoa kafara roho ambazo hazijajiandaa kufa kiroho.
To be Honest free mason sio kitu kizuri kukizungumzia kukisikia kukifuatilia au hata kukifuata(kukisadiki) coz ni other side of God our creator.
 

Kumbe wana vitege!
 
Freemason hawaruhusu mwanamke kwenye jamii yao.labda awe kwenye freemason fake
 
Mbona hakuna jipya hapo?
Hiyo alama inamaana ya "I love you" kwa mujibu wa American sign Language inayotumiwa na viziwi duniani kote
 
Mbona hakuna jipya hapo?
Hiyo alama inamaana ya "I love you" kwa mujibu wa American sign Language inayotumiwa na viziwi duniani kote

haya bhana..ila do again your research mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…