Wanaongea tu bila break, kama yule aliyesema aliwahi kutoa mimba zaidi ya mbiliWakati akijibu post ya shabiki wake,wema sepetu aweka wazi kuwa madawa ya hospital anayopewa na madokta ili kumsaidia apate mtoto ndio yanayomnenepesha.
Je ni sahihi kwake kuweka wazi jambo hili?
View attachment 562960
Wanaongea tu bila break, kama yule aliyesema aliwahi kutoa mimba zaidi ya mbili
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati akijibu post ya shabiki wake,wema sepetu aweka wazi kuwa madawa ya hospital anayopewa na madokta ili kumsaidia apate mtoto ndio yanayomnenepesha.
Je ni sahihi kwake kuweka wazi jambo hili?
View attachment 562960
Apate mume kwanzamtoto hapatikani kwa kulala na vitoto ambavyo haviwezi sugua K kongwe kama yake.wema mwenyezi mungu atakupa kwa wakati wake ,kama ni kuumia na kujutia umeumia sana ,
God is great
dah angefanya kama mwenzake happiness Magese mpaka amepata ndiyo ameweka wazi.
Ni kweli umri wake mdogo...miaka yote Ana miaka 26 ...inaongezeka kwa kurudi nyuma!Woow Kumbe amejaliwa huyu dada jamani? [emoji3][emoji3] lini hiyo? Wema atapata nae halafu mbona bado umri wake ni mdogo sana?