Wema Sepetu ataka kugombea ubunge

Go girl ukipata ubunge rais Zito kabwe atakuteua waziri wa mambo ya ndani ya ofisi ya rais ikulu mtakuwa wooteee kila mahali hakuna atakayekusumbua utakuwa pambo la ikulu
 
Ametangaza muda muafaka kabisa, mh rais hajamaliza kuteuwa viti maalumu. Kwa yy alivyo anayo nafasi.
 

useless wabunge wapo wengi tu Wema akienda atakuwa bora kuliko wao, mbona Amina chifupa alikuwa bora sembuse Wema
 
useless wabunge wapo wengi tu Wema akienda atakuwa bora kuliko wao, mbona Amina chifupa alikuwa bora sembuse Wema

Wabunge wengi "wanachapwa nazo" na tunawajua. Nenda bwana, ukatetee "wenzako" kwani umalaya ni janga la kitaifa, linahitaji watetezi rasmi bungeni
 
Nasikia kichefuchefu itabidi pipa(si kikombe) la babu wa Loliondo lipelekwe ofisi za bunge Dom,Wema akiukwaa uheshimiwa,napiga picha atakavyokuwa anajibinuabinua hapo mjengoni kuwanasa wasiohesimiwa
 
mmmh kaona skendo hazilipi sasa anataka posho ha ha ha ha kazana wema utapata!!!
 
NIMEKUMBUKA....KAMA MWAI KIBAKI AMETEUA CHIEF JUSTICE G.A.Y ........ PIA ANAWEZA TEUA MBUNGE B.I.T.C.H....... mnisamehe kwa ukali wa maandishi..... sio mimi ni "keypad error"
 
jafarai plus sugu is equal to wema sepetu.....aaaaahhh sorry SHY BHANJI
 
kwa kupitia CCM inawezekana!


Acha kashfa mkuu..........................hata akigombea chadema kura yangu ataipata tuuuuuuuuuuuuuuuuu,anafaa ile mbaya....WEMA KEEP IT UP DON,T LET ANYONE DEFLATE YOUR SELF ESTEEM................kwani kuna wabunge hopeless,washirikina,wachafu,mafisadi n.k, ambao hawewezi kulinganishwa na mtoto decent kama wewe,achana na wapika majungu,unaweza.
 
hao wabunge tulio nao bungeni ni malaya kuliko wema, sema wao wanajificha tu, hao ndio wabaya zaidi!

Haswaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,sema wewe watakuelewa,nikisema mimi eti mwongo huyu.................
 
aisee... labda abadilike awe kiumbe kipya
 
Soon ng‘ombe na mbuzi watakua wanafanya biashara.....

Duh,koment zako tu kimwana mimi hoi.............yaani nshaku feel kama vile tumeshaonana siunajua....Acta exteriora indicant interiora secreta??????
 
Keep it up wema,kama huyu anaweza tena kwa kuiba kura, sembuse wewe mrembo kabisa usiweze.....hahahaha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…