Wema Sepetu atimiza miaka 27

Si inabidi uambatanishe na cheti cha kuzaliwa unapopeleka fomu ya ushiriki,kwa tafsiri hiyo yakudanganya means had cheti ni feki,na kama alikua na ujasiri wa kutumia cheki feki,basi umri wake anaujua yeye na mama yake.
 
Dah, sasa walivyomchakachua akifikisha 35 si itakua ...........
 
Dah, sasa walivyomchakachua akifikisha 35 si itakua ...........
dah navyomwona kwa sasa anaonekana amestahimili mapigo ya mashine tofauti tofauti ndani na nje ya nchi,cijui afikishapo 35 atakuwa ame experience kila mchuma
 
Wema sepetu kwanza umeshakua bibi na muda si mrefu utaanza kutafuta kick hadi kwa fidiiii......according to Nay wa mitego
 
Kwa mujibu wa east africa tv mwadada Wema sepetu leo anatimiza miaka 27 ya kuzaliwa
View attachment 408320
Hivi huku duniani kuna watu miaka yako haiongezeki aisee
Kumbe bado mdogo hivyo na kachoka hivyo ????Kweli chura wa sasa hamjitunzi......wanaume na hatari sana tunawazeesha wenzetu...kama ndiyo hivi.
 
wema hata mwaka ule hakuwa na sura ya miaka 18
mm nahisi ana miaka 30 now
 
27 mbona wamemuonea,wafanye 22 kabisa.....kuna yule msanii mwingine wa bongo movie anaitwa Nisha huu ni mwaka wa nne mfululizo anaadhimisha birthday ya kutimiza miaka 27 huku ana toto la kike la miaka 15
 
27???
Ama kweli mizigo mizito huzeesha mapema
 
Psychological facts...mwanamke hapend kusema miaka yake kamili kwani akionekana mkubwa anahisi kupoteza hadhi yake hivyo hupunguza mwaka mmoja au miwili..lakin mwanaume hupenda kuonekana mkubwa hivyo huongeza mwaka mmoja au miwili kwa sabab anaitaj kupata sifa za kimajukumu... big up wema sepetu kwa kujipunguzia mwaka mmoja ur real woman na unatufanya cc wanasayansi kuendelea kuprove theory zetu.. psychology never lies
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…