Wema Sepetu atupwa lupango

  • Thread starter Thread starter GP
  • Start date Start date
Ameshatoka rumande naamini sasa atakuwa na adabu
 
Naona hatimaye huyu Wema kaachiwa lakini kana ubangi bangi fulani. Watu wanaosema kumwombea fine..Lakini pia kuna kuvuna unachopanda..anataka kuonyesha kuwa anajua sana kupenda midume, mapenzi ya diazini hiyo ndiyo yalompelekea kuvunja kioo cha Kanumba na sheria ipo ili kutoruhusu mikanganyiko ya vurugu kupitia mapenzi uchwara...

WAZAZI..waache uchuro hapa, kuna asilimia zao nyingi kumfanya hivyo anavyoishi na anavyoonekana..Katika ustawi wa jamii yetu, Maombi yana sehemu yetu na utashi wetu na maamzi yetu yanayo sehemu ambayo inachangia...
 
This is called the "Naomi Campbell" complex, by which diva and their wannabes totally leap out of reality and operate under an utopian existence in which they are some Queen Bee, aka Baduism or "The Miseducation of Lauryn Hill".
 
Anahitaji boyfriend mpya.....i can handle it.....
 
It seems as if kila mchangiaji hapa anaamini kuwa huyu mtoto amefanya hilo alilofanya kwa kuwa tu 'amechanganyikiwa'. Hivi kuna anayejua sababu halisi haswa iliyopelekea yeye kutenda kosa hilo? Kuna mambo yanatokea kwenye maisha ya kila siku ambayo yanaweza kuku push ukajikuta unafanya mambo ambayo hata hukutarajia!
 
Ni mchanganyiko wa mapenzi na wivu...
 
Mbona kama anajipu shingoni! isijekuwa alikuwa amening'ínizwa huko segerea. Lakini haya maurembo ya kutizama upya. Haiwezekani Lundenga achukue watoto wa watu then waishie kuharibikiwa hivi, ona ule msururu wa bwana mkubwa wote wanaconnection na huyu manju.

Nadhani tuweke kila mshiriki angalau awe na shahada moja na ajira ya kueleweka na apewe guarantee akitoka huko aendelee na ajira yake badala ya kuwaacha wakizurura hovyo. Ukienda Zain Vodacom Tacaid Baclays Bank kunawashiriki wazuri tu ambao wanaweza shiriki huo ulimbwende kwa muda then wakarudi kibaruani kwao.
 

Inasikitisha, lakini kama tuonavyo kwa hawa macelebrity macho, mijicho yapo kwao, nafikiri alitaka kuigiza yale ya marehemu Left Eye. RIP

Pole sana Wema, ni kukomaa kimaisha.
 
Yaani mama yake anamsihi aingie ndani ya gari ili ampeleke home ..ila bado Wema anang'ang'ania yule jamaa??? tena mbele ya wazazI????

Mengine aibu mno!!

Au anakula unga??
 
Ina maana Kanumba alikuwa mpenzi wake harafu akamumwaga ndio ikamtia hasira au ni vipi?
Ni kama hivyo, kwani kesi yenyewe ni ya kuvunja kioo cha gari la Kanumba, Well mwanamke/mwanaume akifikia hatua hiyo kwa mpenzi wake mara nyingi ni kutokana na wivu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…