Wema Sepetu atupwa lupango

  • Thread starter Thread starter GP
  • Start date Start date
Yaani mama yake anamsihi aingie ndani ya gari ili ampeleke home ..ila bado Wema anang'ang'ania yule jamaa??? tena mbele ya wazazI????

Mengine aibu mno!!

Au anakula unga??
Kwani kabla la sakata hilo, Wema alikuwa akiishi na mama yake?
 
.

arrrg mkuu ile listi wengi wanasingiziwa akiwemo yeye...


Jipe moyo mkuu, lakini unapaswa kuuliza madoktori wao wanaweza kukuambia ukweli kabla hujaingia kwnye mtandao.
 
Huyu msichana amejiharibia maisha yake kijinga kabisa! Future yake ilikuwa tambarare sana, maana ana kaumbile kazuri anapendeza sana kwenye TV!! Sasa alivyo sasa na hao wanaume wa ajabu nasikitika sana! Lakini wazazi wake wana mchango kwa haya yote, inawezekana sana walikuwa wanambana sana kwenye makuzi yake, baada ya kuwa huru kidogo akaonjeshwa na akina TID, Kanumba, akina Kinje na hata Liyumba amekuwa wa ovyo hawezi kurudi kwenye mstari maana ameisha jua utamu wa Mb....
 


huyu mtoto yupo kama kapagawa vile, jana mama yake kumtoa tu kamkimbilia huyo sijui mume wake wakitaka sijui kuondoka nae, mume mwenyewe kajisimamia mbaliiiii, yani huyu mtoto kweli kwasasa hajielewi.
 



mtu kujua utamu wa hiyo kitu sio lazima upagawe, mie nakaona tu kameamua mwenyewe kujipagawisha, nakubaliana na wewe kabinti kamekuwa karembo kweli siku hizi, sauti yake ndio usiseme, lakini mambo yake ya ovyoooo, kweli anapoteza direction kabisa.
 
Huyu mtoto mwehu hilo jamaa lake limeshindwa kumtoa rumande mama yake kafanya mishe mishe kamtoa tena anataka kwenda kwake duh!Ange mwacha tu aendelee kuoza afunzwe na dunia.
 
Huyu mtoto mwehu hilo jamaa lake limeshindwa kumtoa rumande mama yake kafanya mishe mishe kamtoa tena anataka kwenda kwake duh!Ange mwacha tu aendelee kuoza afunzwe na dunia.



yani kaliniboa kweli.....
 

Bimkubwa

You just said it all.

Wema's parents are my close neighbours too..

Mama yake Wema is not worth a mother. Sio kwamba ana walakini tu bali anayo matatizo makubwa. For once she has never behaved like a mother! There are few women I know who can treat their husbands like the way she treats the "Ambassador"!

Frankly speaking, she is 100% root cause of what is happening to this very young lady!

As most of the members did put it - LET US SINCERY PRAY FOR WEMA - she will go through it one day
 
Ingawa siwajui kabisa hii familia lakini nahisi kuna shida kubwa hata kwenye makuzi ya Ms Wema...Baba E hebu bainisha wat happened hapa
There are few women I know who can treat their husbands like the way she treats the "Ambassador"!
 
Nampa pole Wema,haya ndiyo matokeo ya kukubali kutumikishwa na shetani!

 
Ingawa siwajui kabisa hii familia lakini nahisi kuna shida kubwa hata kwenye makuzi ya Ms Wema...Baba E hebu bainisha wat happened hapa

Mkuu

Naogopa kuingilia undani wa maisha ya familia za watu (privacy) lakini kuna shida kubwa SANA ya MALEZI ya watoto ndani ya familia HII. Kama unavyofahamu mkuu mume wa huyu Mama Wema ni former BALOZI. On rare occassions anapokuwepo uwa lazima mwisho wa ujio wake ni MATUSI ya NGUONI (in public) na UGOMVI na hapo nyumbani kwao.

Hii trend nimeishuhudia for the past six years!

I've got to stop here
 
Balozi mstaafu si ana mke toka Russia? Huyu mama Wema ni nyumba dogo ama mkewe? inachanganya habari yao
 
Balozi mstaafu si ana mke toka Russia? Huyu mama Wema ni nyumba dogo ama mkewe? inachanganya habari yao

Balozi alikuwa na wake wawili huyo mrusi alikuwa zenji na mama wema dar, wema ni last born wapo wanne
 
Jeni,
Kwa usahihisho tu yule mwingine si mrusi bali ni Mjerumani, ukweli balozi tabia yake mwenyewe ilikuwa ya kutisha vi toti ndo mwenyewe na utunda hapo hasemeki
 
Unajua hizi tabia za kupenda uroda pia zinarithiwa kwenye vinasaba!
 
Hata mimi niliwahi kuwa na mwanamke mmoja alinisumbua sana tukaachana nikaja kutrace rout nikakuta baba yake alikuwa na tabia hizo mpaka akahama nyumba akaenda kuishi sehemu nyingine akapata watoto maisha yakamshinda akarudi kwake mpaka sasa hivi ameokoka

so watu huwa wanaridhi uridhi wa kupenda ngono ni mbaya sana katika maisha ya sasa
 
Unajua hizi tabia za kupenda uroda pia zinarithiwa kwenye vinasaba!

Mkuu,
Hongera, matumizi mazuri ya kiswahili!

Mkuu Yo Yo, Go on kaka uchukue katoto ukafunde kwani ni dhahiri shahiri kwambo ki-jamaa chake kimeshindwa hata dhamana ya laki tano?
Kuhusu kuwa kwenye list no problem, u can manage kwani it is not proved even if proved sio eti hawawezi kuwa na wapenzi. You can play it safely no muzz no fussy!
 
Je hii haionyesha sifa mbaya kwa Maandalizi ya miss Tanzania,maana kwenye uhuni na tabia mbaya walionda umiss tanzania na walioshirika wanatajwa sana.Hatuna haja ya kuangalia upya mashindano haya hasa ukizingatia kuwa kuna usemi kuwa wanaoshinda wanatoa rushwa ya ngono na huenda ndiko wanakojifunzia hayo maovu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…