Wema Sepetu awafukuza Lulu, Uwoya nyumbani kwake, yadaiwa walienda kupatanishwa

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Your browser is not able to display this video.

Miongoni mwa matukio ambayo yamezua gumzo ni tukio la Wema Sepetu kuwafukuza nyumbani kwake mastaa wenzake wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’, Irene Uwoya, Kajala Masanja, Jacqueline Wolper na wengine kwa maelezo kwamba hawakumpa taarifa kwamba wanakwenda nyumbani kwake.

Wema ameshtukia tu kuwaona mastaa hao wakitinga nyumbani kwake ndipo akaamua kuwatimua.

Habari za ndani zinasema walikwenda kumaliza tofauti zao na Wema, jambo ambalo limeshindikana.

Hata hivyo, habari nyingine zinadai ni mwendelezo wa zile drama zao na hapo wapo lokeshi wakirekodi filamu au tamthiliya.


Source: Global Publishers
 
Walishindwa kupiga simu, au basi walau kum-dm!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…