Leo nimeona tangazo clouds tv,huyu mwanadada atakua na reality show yake inayoitwa in my shoes,i can't wait aiseeh....
HAWA NDIO MAPRODUCER?
Jamani I really like Wema ila nahisi reality show inaweza kuibua mascandals mengi zaidi maana maisha ya tv reality yanahitaji scandals ndio yanoge.
ni kina nani hao!!!!!!!
Huyo ni petit man wema hua anamwita mwanae ila huyu nae yupo kwenye kale kamtandao ka wauza...navockia wema anampenda sana huyu kijana
Jamani I really like Wema ila nahisi reality show inaweza kuibua mascandals mengi zaidi maana maisha ya tv reality yanahitaji scandals ndio yanoge.
muuza ...... halafu anaajiriwa na wema??
seriously??
ngoja nikuoneshe wauza.......... wa bongo i mean wauza mafuta lol
king kong hebu muoneshe mazeratti yetu ile na ile lamborgini ya njanoa tumpe maana halisi ya neno muuza .........
Jina tu la reality show yake kakosea!Wasikilizaji wengi wa show yake ni watz wanao ongea kiswahili fasaha;Kwa nn show yake asiipe jina la kiswahili?
Huyu Wema ana kasumba kuhisi kuongea kiingereza ndiyo bab kubwa!Siku ile kwenye party ys wa TZ-Boston alipokuwa anatusalimia kwa kizungu tulimuona "kavu" tu!
muuza ...... halafu anaajiriwa na wema??
seriously??
ngoja nikuoneshe wauza.......... wa bongo i mean wauza mafuta lol
king kong hebu muoneshe mazeratti yetu ile na ile lamborgini ya njanoa tumpe maana halisi ya neno muuza .........