BEHIND THE KEYBOARD.Sijaona connection yoyote katika hizo picha....by the way wamepeleka unga wa sembe huko
Makonda ndio anajua.Nitoke nje kidogo ya mada hiv hiyo GSM huwa inahusika na nini hasa,maana ni GSM kila kona siku hiz
Kwakweli huwa sielewii nawewe pia nahis huelewei pia haya makonda anajua[emoji144]Makonda ndio anajua.
Acha kutukana maindependent women wewe kuna wanawake wanajitambua atii.Usishindane na wanawake hata baba alishaniambia Makonda yuko na wolper halafu huyo GSM kumbuka aliandaa futari akawapa I Phone 6 wasanii na viongozi so Demu yoyote hawez kuchomoa kwa Salaa kabisa juz kavuta Brabus moja Matata kama ile ya Yusuph Bakhressa Money Talks
Huyu ana kampuni za Logistics ana maduka Shopping Malls 2 msasani na Pugu ana Yard kama 3 hiv na huku Kurasin anajenga moja ana hisa Bank ya Amana almost 70% Ana Kampun ya matangazo Yale ya Barabaran zile Screen Kubwa barabarani,Anauza Spare za malori ya Kichina hizi Howo CHNT na FAW naNitoke nje kidogo ya mada hiv hiyo GSM huwa inahusika na nini hasa,maana ni GSM kila kona siku hiz
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]jamani mwenye connection anipe nafanana sana na huyo mwarabu salaah tena kinyama hadi huo upara.mwenye namba yake anipatie sio nakufa maskini tu naendesha bodaboda mwarabu mimi kumbe ndugu yangu anapanda ndege kwenda china kuoga tu na kurudi
Life iz nt fair [emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17]Huyu ana kampuni za Logistics ana maduka Shopping Malls 2 msasani na Pugu ana Yard kama 3 hiv na huku Kurasin anajenga moja ana hisa Bank ya Amana almost 70% Ana Kampun ya matangazo Yale ya Barabaran zile Screen Kubwa barabarani,Anauza Spare za malori ya Kichina hizi Howo CHNT na FAW na
Wafukunyuku hamkosekani, sasa unataka kutuambia nni ? Unamjua uyo mtu aliyewachagua na sababu yake? Unaonaje na wewe ukasogea uchaguliwe?Hakuna alieyesema kuna connection ila ni coincidence kwa watu wanojuana dar kuwepo sehemu moja bila kuonana japo hata picha na wanavyopenda kupiga picha ukizingatia wameondoka wakati moja na wote wameelekea sehem moja na china jinsi ilivyo kubwa.
Alafu tangu lini wema na wolper ni marafiki kama siyo kuna mtu ameamua kuwa chagua hao na wamejikuta wapo pamoja na hakuna namna.
Shilawadu ........ Wanajiita hawashindwiii.......Samahani mkuu mtoa mada! Kazi Kama hii unayofanya ya kuzunguka huko sijui Insta' huwa unalipwa? Au Ni Upendo Tu ulionao kwa Wambeya wenzako unaowaletea Umbeya hapa!??
kweli sikufichi dada hata nikikutumia picha yng utakubaliana na mimi[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Asante mkuu maana nilikuwa najiuliza huyu jamaa ana inshu gani hasahasa maana sasa jina lake huwez likosa kila leoHuyu ana kampuni za Logistics ana maduka Shopping Malls 2 msasani na Pugu ana Yard kama 3 hiv na huku Kurasin anajenga moja ana hisa Bank ya Amana almost 70% Ana Kampun ya matangazo Yale ya Barabaran zile Screen Kubwa barabarani,Anauza Spare za malori ya Kichina hizi Howo CHNT na FAW na
Hakuna haja ya kutuma picha binti .... umeelewekakweli sikufichi dada hata nikikutumia picha yng utakubaliana na mimi
Weeeeh,watu wanavaa ralph lauren na calvin clain afu unasema hawana mbwembwe tafauti yao ni kuwa wanavaa vitu vizuri alafu vya bei kali,ila kwa asiyejua ataona kuwa ni vya kawaida,ukiwaangalia kuanzia juu mpaka chini hapo sio chini ya laki tano worth of clothing only
Vitu vya kun'gaan'gaa wanavaa makolo,watu hawataki mbwembwe,authentic shit,juu fom siksi ya armani exchange,kati khaki pant ya lauren hillfiger,chini umegonga moka za tods,unatoka ki afsa kabisa ,sio minguo kinondoni studio midosho ya guangzhou.Hahahaa jamaa anataka nguo za kung'aa kama waimba kwaya wa kisukuma. Vitu classic havinaga mbwembwe eti.