Wema Sepetu katika ubora wake

Sasa unatuletea hizi edits ili tuzijadili?
 
Huyu kaa haba haishiwi vituko sasa hivi anahangaikia ukuu wa Wilaya michilizi haishiwi vituko jamani mmxuuuuu. .
 
huyu kaa haba haishiwi vituko sasa hivi anahangaikia ukuu wa wilaya michilizi haishiwi vituko jamani mmxuuuuu. .

ukuuu wa wilaya ipi? Maana hao watakaoongozwa na wema labda ni wale machangudoa wa pale kona baa
 
Hili kahaba DIAMOND atakuwa kalila vibaya mno maana pamoja na midudu yote anayoivulia chup... bado unaukumbuka wa DIAMOND tu.
 
Wema na Diamond kuachana itakuwa ndoto,Nadhani safari hii wametumia kigezo cha Kumsapoti JPMagufuli.Maana wote wanampa backup.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…