mauki barakuda
Senior Member
- Apr 17, 2015
- 126
- 31
?????Hongera Mheshimiwa
Wema alifanyakazi kubwa kwenye kampeni ila kukosa uvumilivu kumemkosesha ulaji nadhan mafuta mafuta yaliyopo kwenye makalio yake yanachangia kupunguza maarifa kichwaniMwenzie anakula vinono mbele ya Pugu. Akili ni nywele
Kweli siasa zetu zinataka uvumilivu wa hali ya juu ila pia Tanganyika sweetheart shule hamna muleWema alifanyakazi kubwa kwenye kampeni ila kukosa uvumilivu kumemkosesha ulaji nadhan mafuta mafuta yaliyopo kwenye makalio yake yanachangia kupunguza maarifa kichwani
Hivi we dada ulipoteleaga wapi?Hii ya kugombea nilisikia mda kumbe yuko serious. Ajaribu bahati yake anaweza kubahatisha. Kama kina Vick kamata aliweza sembuse yeye.All the best