Wema Sepetu kugombea Ubunge viti maalum Singida

Hivi ubunge viti maalumu unagombaniwa au unateuliwa?

Labda ndio ombi anajua kushindana kazi kwa hiyo Raisi mpya amchague, anaomba michango mapema.

Ila si yeye ameshawishi wafuasi na wengine wasimpigie kura Ex wa Diamond kushinda MTV awards eti wawa votie wa Nigeria halafu anategemea watu watampa raha katika kampeni duh anakazi

Haya tunasubiri CV
 
ha ha ha itabidi tu kura apigiwe nkurunzinza make hakuna namna
 
Teh teh wewe si unamchukia ndomo kwasababu aliimba kibwagizo cha katiba ya CCM?? Sasa kwanini umsupport Wema kwa kugombea kupitia huko huko CCM??

Hahaha me sababu yangu kwa domo si katiba... Kuhusu wema muacheni jamani atumie fursa. Tunamchangia kuchukua form hadi kampeni zile za ndani ya chama za viti maalumu. Si unajua wao hawana kampeni ile ya nchi nzima.
 
Mwenzangu, muheshimiwa wema isaac sepetu khaa, kwa CCM hakuna kinachoshindikana

Labda akawe viti maalumu wa wauza nyapu wenzie...hahaha
Asahaaauuuu kuingia bungeni..enzi za baba ubaya ndio hz zimeisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…