said_mawlu
New Member
- Jun 9, 2015
- 1
- 2
Chakula ya mzee? Nani huyo? Huyu anaetangaza nia?Hahahahaha hakika nilishangaa kwann uncle Vasco dagama hakunchapa na ka udc kakisela maana naskia ilikua chakula yake pia
Hivi ubunge viti maalumu unagombaniwa au unateuliwa?
Wameandika ubunge wa VITI maalum...hivi hiyo inapigiwa kura mwaka huu?
Bora uongee sahivi, make huo muda unaongoja kuongea utakua kikongwe mnooo wa kuanika juani kama nguo vileNasubiri akipita ndio nitaongea
Labda akawe viti maalumu wa wauza nyapu wenzie...hahaha
Asahaaauuuu kuingia bungeni..enzi za baba ubaya ndio hz zimeisha
Ha ha ha kama ni insta amepataaaa na kura yangu kapataDuuuuuh mbna naskia ni viti maalum insta
Hakika aliyetuloga watanzania kafa zamani sana
Nadhani wanachukuuaga form then wanapigiwa kura za ndani ya chama kuna mdada mwingine naye anagombea viti maalumu.Ingawa sijui ni vigezo gani hupitia.
Nadhani wanachukuuaga form then wanapigiwa kura za ndani ya chama kuna mdada mwingine naye anagombea viti maalumu.Ingawa sijui ni vigezo gani hupitia.
unapigiwa kura za ndani ya ccm ndio unapata,yaan vijana wa ccm wajumbe wa baraza ndio wanampigia kura
Kana,hujui kaa kimya we kenge mmeza matango
Wameandika ubunge wa VITI maalum...hivi hiyo inapigiwa kura mwaka huu?