Wasifu wa Wema Sepetu
Miss Tanzania 2006 Wema Abraham Sepetu (amezaliwa 28 Septemba 1988) alikuwa Mrembo wa Tanzania kwa mwaka wa 2006.
Miss Tanzania 2006 Wema Sepetu(Katikati)
Maisha ya awali, elimu, na sanaa Wema ni mtoto wa mwisho katika familia ya watoto wanne wa Mzee Abraham Sepetu. Alianza elimu ya msingi hadi sekondari amesomea katika shule moja tu iitwayo "Academic International" iliyopo maeneo ya Mikocheni, Dar es Salaam.
Kipaji zaidi cha Wema kiligundulika katika sanaa ya filamu, ambapo alifanikiwa kucheza vema kabisa katika filamu ya A Point of No Return akishirikiana na mchezaji filamu maarufu wa Kitanzania Steven Kanumba.
Wema Sepetu
Amekuwa na mahusiano na watu maarufu wengi wa Tanzania wakiwemo Mr.Blue,TID,Charlz Baba,Vicent Mgosi,Prezzo,Steven Kanumba,James Fredrick,Diamond Platnumz na wengine wengi,ingawa kwa muda huu bado haijajulikana wazi ana mahusiano na nani.
Pia Wema amekuwa akijulikana kwa kuwa na sauti ndogo ndogo.
Wema alivishwa pete ya uchumba na msanii maarufu wa bongofleva Diamond!
Miss Tanzania 2006 Wema Abraham Sepetu (amezaliwa 28 Septemba 1988) alikuwa Mrembo wa Tanzania kwa mwaka wa 2006.
Miss Tanzania 2006 Wema Sepetu(Katikati)
Maisha ya awali, elimu, na sanaa Wema ni mtoto wa mwisho katika familia ya watoto wanne wa Mzee Abraham Sepetu. Alianza elimu ya msingi hadi sekondari amesomea katika shule moja tu iitwayo "Academic International" iliyopo maeneo ya Mikocheni, Dar es Salaam.
Kipaji zaidi cha Wema kiligundulika katika sanaa ya filamu, ambapo alifanikiwa kucheza vema kabisa katika filamu ya A Point of No Return akishirikiana na mchezaji filamu maarufu wa Kitanzania Steven Kanumba.
Wema Sepetu
Amekuwa na mahusiano na watu maarufu wengi wa Tanzania wakiwemo Mr.Blue,TID,Charlz Baba,Vicent Mgosi,Prezzo,Steven Kanumba,James Fredrick,Diamond Platnumz na wengine wengi,ingawa kwa muda huu bado haijajulikana wazi ana mahusiano na nani.
Pia Wema amekuwa akijulikana kwa kuwa na sauti ndogo ndogo.
Wema alivishwa pete ya uchumba na msanii maarufu wa bongofleva Diamond!