Wema Sepetu matusi hayajengi

loveleen

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2014
Posts
428
Reaction score
113
Hii tuiite abusing, jealous, au hates? Halaf Zari thebosslady wa watu hata hakumrespond na daily anakua na POSITIVE THINKING!



:thumbup::sly:🙂😱
 

Attachments

  • 1416375971001.jpg
    77.6 KB · Views: 3,232
Matusi mingiiiìi ndo maumivu ya kuachwa au? Hmm sisomi mengi acha movie iendelee........
 

Attachments

  • 1416376074813.jpg
    66.5 KB · Views: 2,092
Duh maskini wema kaumia saana inaonyesha anampenda sana domo
pole wema usijali atarudi tu
 
Ujumbe mkali sana. Angepunguza ukali wa maneno.
 
Leo ndo anajua the tandalezi aren't loyal move on my dia
 
Kumbe roho inaumuuma eeh. Wema jitahidi kuficha maumivu yako unajichora. Mi nilifikiri umeridhika na safari za China na BMW.
 
Sio akaunti yake hiyo.......anajiita wemasepetu......huo ushabiki tu......
 
Huyu sio Wema ni mshabiki tu ameamua kuandika yake . mbona Wema alishacomment kusifia picha ya zari? Kwa habari fupi ni kwamba this time diamond ndio anabembelezea na kujilizaliza. Wema yuko happy huko aliko. Msimlishe mtoto wa watu maneno. So hata ile account ya diamod replies ni diamond mwenyewe sio? Usiwe mzushi leta habari za kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…