Sweet potato
Member
- Nov 14, 2013
- 60
- 24
unanifurahishaga sana coment zako, ndo mana nakupendaga. hahahahahaWema anatakiwa apate bwana muhindi sasa, ila awe anamlilia, wanakimbizana bustanini, huku wanarushiana maua
hahahahahahahahhahahHakuna mwanaume aliyeweza kumtuliza wema kama jumbee wema aliishi naye uswaa wakapika na kupakua kwenye vibatari jumbee jichukulie tena zigo lako bana unaliwezeya mwenyeweee
hahaha you made ma dayHaya maigizo hayaishi tu kama isidingo
Wema is a woman to sleep with and pack your bags !!!!!!!
Ana nini lakini huyu dada? Hivi huko snap ndio wapi dear, Kila nikitaka kuja huko napoteaWema nae kazidi,aachwe tu.
Sio kwa uchafu aliopost snapchat jana.
Umesahau point ya msingi zaidi huyo mhindi sasaa awe na pesa nyingi sana, kinachomkost wema anapenda maisha ya kutikisaWema anatakiwa apate bwana muhindi sasa, ila awe anamlilia, wanakimbizana bustanini, huku wanarushiana maua
Download App ya Snapchat kisha unitafute kwa maelezo zaidi.Ana nini lakini huyu dada? Hivi huko snap ndio wapi dear, Kila nikitaka kuja huko napotea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sikuwezi kwa umbeaHivi kile kiwanja alichonunuliwa na martin on her BD ameshaanza kumwaga mchanga na matofali
Hehehehe da umenikumbusha mbali sanaakweli huu ubuyu wa vinto
Ana nini lakini huyu dada? Hivi huko snap ndio wapi dear, Kila nikitaka kuja huko napotea
Ahahahahaha we anajua huku kwetu ngumu kumeza atapigwa mjengo mpk akuna show game mara eti umembeba mara sijui mko beach akuna ni chumbani kidume juu ya kifua mpk anachakaa na mwili wenyewe ule wa kutengenezaHuyu wema kwani Ana gundu gani? Kwani lazima Kila mwanaume wake awe mbongo movie au bongo fleva?
Siaje hata kwetu tumsitiri tu
Ahahahahaha we anajua huku kwetu ngumu kumeza atapigwa mjengo mpk akuna show game mara eti umembeba mara sijui mko beach akuna ni chumbani kidume juu ya kifua mpk anachakaa na mwili wenyewe ule wa kutengenezaHuyu wema kwani Ana gundu gani? Kwani lazima Kila mwanaume wake awe mbongo movie au bongo fleva?
Siaje hata kwetu tumsitiri tu