Wema Sepetu na Nyumba ya Kijitonyama

si nilisikia wema ana nyumba yenye thamani ya milioni mia nne na ina kicounter kidogo ndani tukawekewa mpk picha zake..
 
si nilisikia wema ana nyumba yenye thamani ya milioni mia nne na ina kicounter kidogo ndani tukawekewa mpk picha zake..

Ndio hyo mkuu, bwana wake kweli alinunua na kumkabidh, ndo maana alijitamba mitandaon kuwa ni yake , alikuwa na haki kwa kipindi hcho, ila alivyokuja kuzingua ndo mambo yakamgeukia
 
Ndio hyo mkuu, bwana wake kweli alinunua na kumkabidh, ndo maana alijitamba mitandaon kuwa ni yake , alikuwa na haki kwa kipindi hcho, ila alivyokuja kuzingua ndo mambo yakamgeukia

Kwa hiyo kwa sasa amepanga?
 
Kwa hiyo kwa sasa amepanga?
Nilisikia kapewa notices mpaka mwezi wa sita awe amehama na akabidh nyumba, bado haijaeleweka kama amehama au vp , ila still yupo knyam
 
si nilisikia wema ana nyumba yenye thamani ya milioni mia nne na ina kicounter kidogo ndani tukawekewa mpk picha zake..

Ndugu yangu mndengereko wasanii wa bongo akisema anamiliki kitu sikia kwa sikio la kulia na acha lipitie sikio la kushoto.
 
Ndugu yangu mndengereko wasanii wa bongo akisema anamiliki kitu sikia kwa sikio la kulia na acha lipitie sikio la kushoto.
sasa hapo si anakuwa anajidangnaya mwenyewe tu.!! kwani ana mdanganya nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…