Wema Sepetu na VJ Penny wapatana

Wema Sepetu na VJ Penny wapatana

wangewange

Senior Member
Joined
Oct 4, 2013
Posts
189
Reaction score
43
Taarifa ambayo imezagaa kila kona ni ya kupatana kati ya Wema na Penny.

Wasameana na kuondoa tofauti jana katika dinner ya birthday ya Junaitha,Junaitha ndiye aliyefanya harakat zote za kupatana kwao ... For prove n pictures ...chek insta Junaithar
 
Last edited by a moderator:
hhahahahaaaa... kwa hiyo Junaitha naye atakuwa celeb hapa jukwaani kwa kuwapatanisha ma demu wa diamond..!!
 
Ndio nani huyo ebu weka picha yake huyo mpatanishajii tafadhali ....
 
Afadhari wamepatana kisa cha kununiana mwanaume mwenyewe anatembeza mtwangio kama hana akili nzuri, ila ndo Wema atambue hawezi kumbadilisha Dai na apatane na Kajala pia.
Eti ana shoot video na bosylady full kubambiana cjui ndo movie inaendelea
 
Bora wapatane

Wenyewe wanajijua bongo kuna maselebrity mavi ya kuku kazi yao kubadilishana na kunyang'anyana mabwana... sasa watagombana mpaka lini?
 
Safi sana,Diamond hajatulia sasa hivi yupo na sembelady Zari sugar mamy
 
wapi team mavimavi kumtukana penny kutwaa kumuita penseli mtoto wa watu
mbona tumeumbuka
 
Ndio nani huyo ebu weka picha yake huyo mpatanishajii tafadhali ....

Hahahaaaah mpatanishaji ni mdada ana jishape la ukweli lakini sura yake ina mabaka hatariii...alafu eti nae anauza vipodozi...
 
Ngoja niwasaidie picha from insta ImageUploadedByJamiiForums1415524993.087511.jpg
 
Hahahaaaah mpatanishaji ni mdada ana jishape la ukweli lakini sura yake ina mabaka hatariii...alafu eti nae anauza vipodozi...

duuuuuh.....kashindwa kujitibbu....au fekelo anavyouza
 
Nawapa hongera kupatana na kuishi kwa amani kisa mwanaume ambaye ana move from one women to another duniani twapita big up wamefanya la maana
 
ni vizuri maana huyu dada na yeye alitukanwa na hizo team jamani,naona sasa hizo team zitaenda kwa huyo zari,huko insta mbona atakoma
 
Back
Top Bottom