Wema Sepetu ndani ya dxb Dubai 5 star hotel....

Ngoja na mm nasubiria zamu yangu yakumchukua huyu bibi wema
 

Mimi hapa ndio DON KING wake.
 
kweli biashara ya kum* inalipa mjini,huyu dogo tokea nianze kusikia anakaa nyagwa ni ktambo sana..si kashaota sugu huyu?for*play masaa matatu na bado mkav*....

kudadeki< na mie ngoja niingie mzigoni, haya mwenye mpunga wa kunipeleka dubai nikafanye shopping na matembezi na makorokoro yoteeee ya mraha< check me basi nami nijilipueeeeee....................he he he he he he heiyaaaazzz
 
wema anao kama ilivyo jina lake naona mpaka amfike miaka hamsini teyari itakuwa imerojeka
 
jamani mwacheni atulie na kwa nini mnaleta habari zake huku
 
mwacheni da wema ajilie raha ya kuumbwa mzuri+ miss tz
 
anajaribu kufka level zng bt bdo xna mbichi aongezee budii tu na ajenge co kupanga
 
Ngoja tumngojee mamaa wa UDAKU special atatueleza yote.:A S 13:
Stay tuned.
 
Kumbe kwenda DXB deal?


Imagine??????

Huyo Wema hana deal kwa sasa, hatafuti Maisha yake kama the rest of Miss Tanzania have done.
Yeye ameona huo usichana ndio deal, kubadilisha ma pedejee.
Kwa kweli, wema will go down in history kama Miss Tanzania aliyetia aibu kuliko wote.
 
Kumbe kwenda DXB deal?

Sio kwenda Dubai tu, bali pia kuolewa na Mzungu ndio dili kubwa zaidi.
Maana kuna wengine wanatangaza kuolewa na wazungu hadi wamefungua blog zao, zinazoonyesha wanavyokula na wazungu, wakiwa kitandani na mzungu na familia zao. kweli blog hazina maana kabisa.
Inawafundisha wanawake wengine kwamba kufanikiwa ni kuolewa na mzungu, ili uishi dubai, ili uzae half caste.
Hawaju kuna wanawake wengi sana, wako kimya, wamepigana kwa juhudi zao wenyewe hadi wametoka.
Very simple mind.
 
mbezibeach
{....NI FULL MINYENYERE JAMANI....} ndugu thibitisha neno hilo usiwaache watu na shel bulee ukweli hapo big-up mpendwa ana speed ya kutisha tupo hapa kwaajili ya kuelimisha waungwana kuponda tu! na tukaishia hapo haisaidii tuitendee haki jamii forum kwa kuelimisha mwisho wa siku ushukuliwe na kupongezwa jamii .
 
lol u guys!!!!!!!!!!let ha 2 enjoy ha life asipovaa vizur mtasema kafulia,,,wema move on darln>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>everyone has a right ya kuish as he or she wish r u guys perfect???????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…