Naomba mtu ani shawishi kwa sababu tano tuu kuwa Wema sepetu hato changanyikiwa baada ya miaka miwili!
Wenyewe watakwambia ivi...
1.kwa sababu mzuri
2.anapendwa sana
3.amepata mwanamme mzuri sana
4.ana mashabiki wengi
5.ana magari
pia AME MOVE ONWenyewe watakwambia ivi...1.kwa sababu mzuri2.anapendwa sana3.amepata mwanamme mzuri sana4.ana mashabiki wengi5.ana magari
Anazungumza suala la kutoa mimba moja tu utasema katika ulimwengu huu wa tatu ni kitu cha kawaida
Naomba mtu ani shawishi kwa sababu tano tuu kuwa Wema sepetu hato changanyikiwa baada ya miaka miwili!
6.amepanga..........
Wenyewe watakwambia ivi...
1.kwa sababu mzuri
2.anapendwa sana
3.amepata mwanamme mzuri sana
4.ana mashabiki wengi
5.ana magari
pia AME MOVE ON
Huyu dada vipi jamani
Post relationship psychological disorder..anaweza kufa ghafla huyuNdio maana naamini Wema anacho onesha ni dalili za kuchanganyikiwa kabisa..mtu anasema ame move on halafu bado anatuma tuma sms kwa ex wake..kwanini huu si uchizi?
Mungu si mtu jamani, huwezi kuapia km una ahadi na Mungu. Pia ukiona cha nini wenzio wanauliza watakipata liniMi Naapa Wema Hawezi Kupata Mume Bongo Hii Au E.Africa Hii.Labda Akajaribu Bahati Yake Syria.Coz Hata Mjinga wa Mwisho Siku Hizi Hakubali Kuoa Kahaba.
Mwacheni Aendelee Kujifariji Na Mapaka Na Mambwa Anayofuga.Kizazi Kimeshaliwa Na Mchwa!
Kumbuka diamond asingefika hapo alipo bila Wema kila mtu anajua hilo. Wema ndio kamtoa
Na hao mabau aendeleee nao tu furaha kafunguka anamtamani bado Diamond timu yake mlikuwa wabishi full kumtukana D na Z wake.
Wema kafulia nani anatamani kuwa na maisha kama yake? Akili za qengine ndio aongee kwa kumaliza kukaa chini na kufundishwaaaa
Now anatafuta kiki kupitia kwa Diamond kubali tu....D yupo juu yake kiakili ya maisha etc
Mwanamke mlalwa ovyo ni ovyo
yan utadhan tunashare ubongo...m mwenyewe huwa najiuliza y anapenda kukaa na mapungaWanawake naomba msaada kwanini wema anapenda kuongozana na mashoga/sengesi wanafaida gani wanaume vile kwake?????