Wema Sepetu: Ninammiss sana Diamond, sema IQ yake ndogo

tuache kuponda tu hovyo au ndo mambo ya IQ . huyo kawa mkweli kiubinadam mtu mlokaa miaka mingi in relationship hata mkiachana kuna vitu unavikumbuka hata kama hauhitaji mrudiane jaman na nyie mshakuwa na ma ex

Wengi wanao ongozwa na chuki imewafanya hadi reasoning kuwa ya kijinga sasa.
 
amesema aliitoa kwa sababu alikua mdogo sa kama mdogo sijui mimba iliingiaje kwa mtoto mdogo basi asilalamike AKIWA MKUBWA ATAPATA NYINGINE
 
Naomba mtu ani shawishi kwa sababu tano tuu kuwa Wema sepetu hato changanyikiwa baada ya miaka miwili!
Tayari ameshachanganyikiwa sema tu magonjwa ya akili huwa yametofautiana na wengi wetu mpaka mtu avue nguo au aongee barabarani ndio huwa tunaona amechanganyikiwa kumbe hata wale wenye majivuno yaliyopitiliza ni ugonjwa pia
 
Mkuu hizo ni sheria za nchi gani?
Only applicable kwa Tanzania usiniulize kifungu gani cha sheria ila niulize matukio gani yalishatokea na watu wakaachiwa simply becoz walijitangaza hadharani kuanzia makanisani mpaka uraiani, kesi za umilki wa silaha, wasanii wanahojiwa redioni wanasema wanavuta bangi wengine wanasema walivuta bangi n.k (kwa sie maamuma wa sheria kwa tafsiri ya haraka haraka tunajua ukifanya hivyo unakuwa salama vinginevyo nipe madini ya kisheria)
 
Dah! So sad. Na nyie wadada mjifunze kwa Wema. No perfect beng. Mnavumiliana tu hadi mnajikuta mko sawa
 
Mimi sioni mwenye unafuu kati ya hao wawili kwakuwa wema alikuwa analalwa na vibabu ili apate mshiko, nasib naye kamfuata huyo mamaake zari kwakuwa ana pesa. Hapa tunasema aliyejificha anamcheka anayenyata!

Ingependeza sana first born wa nasib atokane na mwanamke/msichana asiyezaa bado manake hii ndio nafasi ya pekee iliyobakia kwa wanaume baada ya suala la ubikra kuota mbawa (yaani mwenye uhakika wa kucheza bikra ni mwanamke tu mwanaume nafasi hiyo hana tena siku hizi labda kwa miujiza tu) hivyo nafasi ya kujivunia ujanani kwa mwanaume ni kuwa wa kwanza kuweka mtoto hai kwenye tumbo la kike.

Sasa huyu nasib anakuwa na first born kutoka kwa last born wa zari! Anakuwa na kaka wakubwa wa taifa na kabila lingine! Haipendezi.
 
Mtu mwenyewe unayemtumia meseji Diamond, ataiscratch-scratch na kuitafsiri vinginevyo. Akili zenu wote pwagu na pwaguzi.
 
Mimba moja TU....

Hahahahaha!!!

Ila Kanumba noma sana

Majuzi kumbukumbu ya Kanumba niliona wakirudai mahojiano kabla hajafariki dunia, majibu aliyokuwa anatoa kidogo niingie chini ya meza...! Nye! Alivyotuingiza chaka... RIP
 
Mtu mwenyewe unayemtumia meseji Diamond, ataiscratch-scratch na kuitafsiri vinginevyo. Akili zenu wote pwagu na pwaguzi.

Kwani akulalwa nae na kupenda hadi anaililia sasa hivi.
 
Hivi me sijui ndo macho yangu mabovu,ingawa siwajui vizuri hawa mabinti,lakini naona ka Wema ni karembo kuliko huyo zari.
 
Wanawake wa jamiiforums mnamchukia Wema sababu kawazidi uzuri na pesa mchweeew. Wote hamna maisha wivu umewajaa kama nini na mtaisoma namba sasa hivi madam ana mshefa wa ukweli bado pete tu kachoka kuwa na masharobalo wasio na hela.



Wema ni mzuri hivi?? Sikujua
Anajaribu mno kuwa kim kardashian lkn haiwezekani sasa...
 
Wema ndiye aliyemtangaza kwenye magazeti na kamfundisha ata kuongea english akienda nje. Tuongee ukweli jamani diamond hana shukrani ata kujibu sms ya ex wako huo ni uswahili mganda anamchuna tu.

Why amjibu? Its over,! Wema kamtosa jamaa, jamaa Ka move on she needs to get over it! Period!
Mimi sio fan wa diamond hata kidogo lkn mmezidi kumlaumu kaka wa watu utadhani huyu wema ni mtakatifu. The guy has moved on ni choice yake kutokuwa na mawasiliano na ex ... Mswahili? Yes sio tusi kwa diamond, kwani si kakulia uswahilini kuna jipya? Muacheni kaka wa watu alelee sugarmamy wake na wema aendelee kumuota kim kardashian na maisha yake.
Kumfundisha kingereza kama ishu arudi akachukue kingereza chake cha like like like like mia kwenye sentensi moja
 

hivi unajuwa virutubisho vinavyopatikana kwenye ugali na matembere? Acheni dharau
 
Atubu sana nakujutia alichokifanya,kuua siyo jambo jepesi kama wanavyofikir yamkini ndo huyo huyo mtt aliyemuua alipewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…