Wema Sepetu, Ray, JB, Anti Ezekie na Steve Nyerere kwenye Fiesta...

Wema Sepetu, Ray, JB, Anti Ezekie na Steve Nyerere kwenye Fiesta...

msafwa93

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2011
Posts
4,786
Reaction score
5,963
inanshangaza sana kuona bongo muvi wakishriki kwenye tamasha la fiesta kila mikoa,alaf wakipanda pale jukwaan hawafanyi lolote zaid ya kujidhalilisha kwa kukata viuona jukwaan,je wanalipwa.?na kama wanalipwa huu ni mwanzo wa kufulia,sidhani kama marehemu kanumba angefanya upuuzi kama huu..
 
hao clouds wameona sasa wanamuziki wana muamko juu ya haki zao za malipo sasa wamehamia kwa waigizaji.. shame
 
Hoja ni nini??? Namchukia mtu anayejenga hoja akizihusisha na marehemu!!!!!
 
Aisee ni kweli kabisa huko ni kujidhalilisha sioni sababu ya wao kupanda jukwaani..
 
Back
Top Bottom