Mwanafilamu maarufu ktk bongo movie miss wema amewaasa vijana kuacha michepuko na kuwa na mpenzi 1, haya amezungumza kutoka ktk tamasha la kuzuia maambukizi ya virusi vya ukimwi kwa vijana. Amesema kama mtu una mpenzi mmoja ambaye mnaaminiana hakuna aja ya kutumia kinga, akimaanisha ye na daimond. Kwa habari zaidi www.sintah.com