Wema Sepetu: Sina amani kabisa kwenye maisha yangu

kabakiza kiki moja tu nayo ni kugongwa na Fid Q
 
Mpeleke bas uko kwa Dangote.. Kwan ni dhambi mtu kuongea yaliyo ya moyon mwake?


Huyu hasipelekwe kabisa, akae mbali nayeeee maana amejaa nuksi, tho hazitamwingia tena Mume wa Zari. Muda aliomwongezea ka bwege wa kupenda uleeeeeee... Atulie na mababu wenye pesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…