Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Alisoma Malaysia..
Sijui digrii ya nini si ndio maana nikakimbia hayo maswali mengine.....
anayo mi nilisomaga na dada alikuaga katulia huyu... binti mpoleee balaa na kisauti chake akaja kungengeuka alivyoanza umiss
Ile picha kweli ilikua homa ya jiji maana hadi ye mwenyewe alilazwa... sema alivyoanza kutukana hadi mwanae akawa anamwambia mama basi.....
Alivyojibu sasa
Huyo binti sidhani kabisa kama ana elimu ya juu (stashahada au shahada).
Na mtu huhitaji kuwa 'kichwa' kulibaini hilo.
Ushawahi kuona anavyoandika?
Hakika huyu Mama amenishangaza kabisa....
Huyu Mama hapendi ukubwa kabisa!
Hahaaaaaa naonaga ila huwa naona kawaida tu.....
Kwani huwa anaandikaje
Huyo binti sidhani kabisa kama ana elimu ya juu (stashahada au shahada).
Na mtu huhitaji kuwa 'kichwa' kulibaini hilo.
Ushawahi kuona anavyoandika?
Nasikitika sana ninapoona watu wazima wanashindwa kuisaidia jamii kubadilika . Unajua hapakua na haja ya kumponda yeyote akiwa kama mzazi . Zipo njia nyingi za kufikisha ujumbe kwa hekima na wahusika wakajisikia vibaya na tena wala si njema kuendeleza magomvi . Angewaelekeza namna nzuri ya kuishi na watu na ikiwezekana angewakanya kuingiza wazazi ktk mambo yao ya kipuuzi kama alivyotumia mfano wa mumewe ilikua nzuri kiasi.Huyu Mama lazima ana tatizo si bure nimejaribu kuiplay hiyo clip kama Mara nne nikagundua kwanza ana matatizo ya
*kisaikolojia
* anapenda kuandikwa!
*Ana kiburi cha kupindukia
*Ashauriki....mpaka atimize anacho kitaka!
*pamoja na kukiri ana umri wa miaka 56 lakini hajui kama yeye ni mtu mzima
*Umri wake ameutaja kwa bahati mbaya halikuwa kusudi lake!
Huyu Mama ni kielelezo kibaya kwa Wema.....
Sasa nadhani watu watajua tofauti ya umri mkubwa na mtu mzima!
Aibu...tupu
To put it charitably, my tween at home is far better intellectually than that grown ass woman.....
Sijui digrii ya nini si ndio maana nikakimbia hayo maswali mengine.....
anayo mi nilisomaga na dada alikuaga katulia huyu... binti mpoleee balaa na kisauti chake akaja kungengeuka alivyoanza umiss
Huyu kwakweli Umiss na bongo movie za kina kanumba zilimbadilisha.
Hahaaaa kwenye kuandika naona yuko poa labda katika kuongea ndio huwa na kiswanglish kingi...
Ur tween anaishi wapi??? asije kua huko majuu ukafananisha na Wema
Maza ana mpododo hatari anadai hajui cream wkti mwanae kajiloweka mpka anaonekana mbibi,huyu maza chini y kapet wanadai alikua house girl wa familia y sepetu.
Bdaa y mke w sepetu kufariki ndio akasogeza house girl kua mke,
Hpo mzee alikua jaji mwz wakikaa isamilo
Hmm...kama unaona kwenye kuandika yuko poa basi nawe sijui hata nikuweke kundi gani tu!
Haijalishi tween wangu yuko wapi....hoja ni kwamba kama kweli huyo bibie ni msomi wa shahada au stashahada....she just doesn't look or act the part to the extent that my tween is far more advanced intellectually than she is based on what I have observed.
Haaaaaa watu wanaukana uzeee.. na uzee ukija wala haupigi hodi unauona huo tu ndiiii
Au mambo ya uzee mwisho chalinze
Hahahahaha duh kwa mama yeyote mwenye hekima na busara kamwe hawezi kusema aliyoyasema. Nimesikitika anaongea mpaka anajinadi kuwa yeye ni 56 lkn umbo lake ni la binti mdogo. Ama kweli wazazi wa kisasa kuna shida mahala flani. Inawezekana wengine kwasababu ya kukaa ktk jamii isiyo na maadili wameathirika kiasi kwamba hawaoni kama huyu mama amekosea. Tulitegemea kupata maneno yenye kujenga toka kwake na hakukua na haja ya yeye kufanya alivyofanya kwani ziko njia nyingi za kufikisha ujumbe.
Hahahaha kupitia clip ya huyu Mama nime amini uzee mwisho Chalinze!
Nasikitika sana ninapoona watu wazima wanashindwa kuisaidia jamii kubadilika . Unajua hapakua na haja ya kumponda yeyote akiwa kama mzazi . Zipo njia nyingi za kufikisha ujumbe kwa hekima na wahusika wakajisikia vibaya na tena wala si njema kuendeleza magomvi . Angewaelekeza namna nzuri ya kuishi na watu na ikiwezekana angewakanya kuingiza wazazi ktk mambo yao ya kipuuzi kama alivyotumia mfano wa mumewe ilikua nzuri kiasi.
Umri hakuutaja kwa bahati mbaya kwani ukiangalia vizuri utaona kabisa alikua anajinadi na hiyo ndo iliyonifanya nicheke nahisi huyu mama hajaona wamama wenye maumbo mazuri aisee.
Elim ya wema haisuiani na mambo aliyoyafanya huyo mama....
Ila ana degree..