Wema Sepetu: Tabia karithi kwa mama yake?


Maza alikua muosha vyombo halafu akaolewa n jaji kwake ilikua ndoto,ck alikua n hela c maneno kwahiyo maza bdo anadonge n ck mana ungekuta nae anadrive harrier kwa hela z ck.
Kajala alisharudisha hela kwa kumpa ck mzigo kwahiyo deni limekwisha hizo 13m hazikua z wema period
 
Huyu Matoope ni kama jina lake mwanzo nilikuwa namshangaa sana lakini sikuhizi na Cheka sana nikiona post zake hata ndugu pdidy

Maatope na pdidy ni watu ambao wapo kipekee, hata huwatukane vipi wao watakujibu kistaarabu.
 
Last edited by a moderator:
Hajafika six wema..nmechek interview zake kibao baada ya 4 alienda Malaysia for dip ambayo cjui kama alimaliza

Mbona wengine wanasema kafika form six au nimeona vibaya?????
hadi sasa hatujapata uhakika wa elimu yake...

Malaysia alienda kusoma ila sijui what happened ndio kina Mange wali muunganisha u miss Tz baada ya hapo ndio ikawa tunayoyaona sasa...
 
Watu walikua wanapiga makofi saana na... na kuna muda walikua wanamsifia kabisa ye ndio morali ikapanda pale

Basi ndio walimpanikisha wakati hao hao ndio watakua wakwanza kumkejeli.....dunia ina watu na viatu ila wengine yeboyebo
 
Basi ndio walimpanikisha wakati hao hao ndio watakua wakwanza kumkejeli.....dunia ina watu na viatu ila wengine yeboyebo

Clip tumezipata wao waliokua wanamshangilia ndio wamezisambaza...

Hahaaa eti yeboyebo.... yeboyebo zikasambaza video.. mie sijataka kuiangalia hadi nwisho
 
inawezekana hakutegemea maisha mazuri so bado ana ulimbukeni ule ule
sijawah msikia mama wa uwoya wala wolpa na makashfa ya uwoya kukimbia mme
mi nahis aliruka stage

Sasa mama wa uwoya ushamuona.??? Ni mreeeembooo km uwoya uwii...very beautiful ss hili zee linajinad wakt soko lishakwishaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…