Wema SEPETU

Kiranja Mkuu

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2010
Posts
4,219
Reaction score
4,608
Jamani mrembo huyu yuko wapi sasa, na anafanya nini??


 
Ni msemaji (PRO) wa Kampuni moja ya Kutengeneza filamu hapa Bongo
 
Bora anyamaze kwa muda maana kashfa zilimwandama kweli...Sijui siku hizi kamekua haka kabinti?
 
Nataka nitangaze ndoa....
Binti ni mzuri sana, nahisi kwa sasa atakuwa ametulia na hana shida tena ya umaarufu baada ya umaarufu kumtokea puani.
 
mie namtaka kurusha nae roho nitampataje wanawenu
 
mwacheni jamani apumzike kaaaa!
 
hha ha haaaaaaaa
wewe sinkala wewe............
 
Jamaa wa Zeutamu mumehamia JF!

Hahaha masanilo umenifurahisha hivi huyu jamaa yuko wapi nilisikiaga amekamatwa akapelekwa Dar wameshamhukumu??? Anyway Wema ni msichana mzuri sana na angelitulia ni msichana anayefaa kuolewa binafsi ningelitaka kumuoa but exposure ya media na rekodi yake chafu mh i would rather not may be after couple of years maana binaadamu hubadilika and everyone deserves a second chance. But namtakia kila la kheri na maisha yake. Nilikuwapo katika thread hii bye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…