Wema SEPETU

Sio polisi wa siku hizi mazee, niliwahi kumuona mmoja mahakama ya kisutu, asee!! nilitamani anikamate ili niwe jirani yake!!!

sema ni kubanwa na majukumu tu ama sivyo matembezi yangu yangekuwa kwenye mahakama hiyo kila siku!!!

Duh! We mkariii!!
 
mhh Wema kama unapitaga humu hebu achana na wabongo kwanza tafuta mnigeria akupooze machungu ya vibudu ulivyokumbana navyo.

shosti....aangukie hata cameroon/rwanda atleast lakini sio hiyo type, pwehh nipo nao kikazi ni balaa ya kuotea mbali hao binadamu.
 
shosti....aangukie hata cameroon/rwanda atleast lakini sio hiyo type, pwehh nipo nao kikazi ni balaa ya kuotea mbali hao binadamu.
balaa lao linawashinda wabongo jamani maana mhh
 
sifa kubadilisha wanaume m namuona chiz tu na wanomchukua nao cjui wamezoea kula machangu
 
Hivi kwa sio hapo karibu na Meeda Bar sinza/Mwenge? Kama ndio hivyo mama yake ni balaaaaa usichezee koki... utaloa sembuse mtoto. sishangai hata kidogo


Nimeipenda hii, usichezee koki utalowa..........m
 
mhh Wema kama unapitaga humu hebu achana na wabongo kwanza tafuta mnigeria akupooze machungu ya vibudu ulivyokumbana navyo.

wewe tena,watamtapeli hadi hiyo mbunye waondoke nayo waipeleke naija wakaipige mnada:dance:
 
wewe tena,watamtapeli hadi hiyo mbunye waondoke nayo waipeleke naija wakaipige mnada:dance:
hahahahahahahahahahahh si ndo vizuri watatupunguzia kero,ila mnawaonea wazuri sana hawa jamaa kwenye idara ya kupenda...huko kwingine sijui!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…