Wema, tatizo ni nini?

Jamani acheni mungu aitwe mung, ukiona mwenzako ananyolewa basi wewe tia maji. Sasa huyo mdada ni mdogo bado; akaingiwa na pepo la ngono, pepo likakuta yuko empty hana macho ya imani utategemea nini?

Wewe unayemshauri muombee tu kwa mwenyezi mungu amtie nguvu na kuondoa hilo pepo la ngono linalomsumbua.
 
Atakuwa na matatizo yeye na sio hao wanaume anaokuwa nao kimapenzi, haiwezekani kila siku aachane na kuanzisha uhusiano mpya. Ajiangalie sana huyu dada.

Tatizo kubwa la mabinti toka mikoani huwa ni ushamba. Alipokuwa undergrond alikuwa na Mr Blue(umesahau hilo), alipopanda chati akammwaga dogo akawa na wenye majina. Mwambie acheki na mimi nimshauri. Nina over 40 years na ni msahauri wa vijana.
 
Mtasema weeee, mwenzenu ndo kwanza karudiana na Chalz Baba wakati juzi kati alikuwa na Diamond na wote wawili walikuwa wakitamba sana kwamba sasa wamefika. Fuatilia kisa kamili hapa hapa: WEMA, CHALZ BABA.

 
Ni pepo la ngono baaasi! Na diamond limbukeni juzjuz alikua very very poor! Sasa amesaau si mbali sana kutoka sasa atarudia zama zake.
 

Jamani tunaomba utupatie source ya hii kitu yako, wana JF tujaribu kutekeleza yale tunayowashauri wenzetu. Juzijuzi hapa Dr Shayo, H. alishambuliwa sana kwa ku copy na ku paste document ya mtu na kuiandika as if ni yake bila ku acknowledge source, naona na wewe umeyarudia yale yale ya Shayo. Pls dont repeat mistakes.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…