Wema usikubali Diamond ahojiwe mwenyewe clouds tv akienda nenda nae mwaya

piddy unamuonea wivu dadako wema jamani!!!

mwaya wacha tu kiswahili hiki nilikuwa naona uchungu bibie anavyovyochezesha mapaja ati

dada akirudi na chumba chake tushapangisha sijui atalala wapi
 
Nipe tano miss...n......
 
mwaya wacha tu kiswahili hiki nilikuwa naona uchungu bibie anavyovyochezesha mapaja ati

dada akirudi na chumba chake tushapangisha sijui atalala wapi

Hahahaaa...imebidi nicheke. so hutaki dada aibiwee....
 
hahahaaa...imebidi nicheke. So hutaki dada aibiwee....

loh akiibiwasi anarudi kwetu mwaya afadhali nirekebishe mapema akiachika aachike

kwa mapenzi yake s kwa kuibiwa ati.....
 
we wakiume au wakike

NINAOMBA KUFUTA MANENO MAKALI KWA MSTAHIKI MEYA,NILIPITIWA NILIONA KWA BAHATI MBAYA KAMA THREAD YA WEMA KUWA NDIYE MLETA UZI,KUMBE NI PDIDY, MLETA UZI HUENDA AKAWA NI SHOGA, ET NAE NI miongoni mwa gret thinkers!!
 
mwaya wacha tu kiswahili hiki nilikuwa naona uchungu bibie anavyovyochezesha mapaja ati

dada akirudi na chumba chake tushapangisha sijui atalala wapi

loh akiibiwasi anarudi kwetu mwaya afadhali nirekebishe mapema akiachika aachike

kwa mapenzi yake s kwa kuibiwa ati.....

Madhara ya sera ya David Cameroon yameanza kuonekana.
 
hahaha ila ukimuelewa Pdidy raha sana mi siku hizi mwandiko wake haunipi shida kabisaaa tena siku hizi anajitahidi sana

siku hizi anajitahidi sana jamani mwanzo nilikua sieleqi chochote
 
Last edited by a moderator:
Walahi namwonea wivu dada yangu wema

kuna dada anamhoji mmh kaachia mapaja mpaka namwonea huruma shemeji anavyojieleza macho yanalenga kusema anashindwa loh

mungu amtie nguvu amalizie salama kuhojiwa

Hii kauli ni nadra sana kutoka kwa mwanaume anayejielewa..............
 
Binadamu hachungwi. Ataenda nae kila mahali?
Walahi namwonea wivu dada yangu wema

kuna dada anamhoji mmh kaachia mapaja mpaka namwonea huruma shemeji anavyojieleza macho yanalenga kusema anashindwa loh
mungu amtie nguvu amalizie salama kuhojiwa
 
Walahi namwonea wivu dada yangu wema

kuna dada anamhoji mmh kaachia mapaja mpaka namwonea huruma shemeji anavyojieleza macho yanalenga kusema anashindwa loh
mungu amtie nguvu amalizie salama kuhojiwa

We ni jinsia gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…