Wema wangu umeniponza nimefirisika na kukimbiwa na mke

Ok mwanamke muachie ikibidi mkabidhi hadi watoto.....huyo ni mdogo wako wa damu,zimwi likujualo halikuli likakwisha.

Anza upya uzuri wale kakazako wakubwa bado wapo hai bado unaweza nyanyuka.
 
Daah aisee uzur njia zote unazijua usiache kupambana kwenye njia zako utafanikiwa mattz tunayapitia wote cha kukushauri usiache njia zako za zaman za biashara izo ndo ztakurudisha kwenye raman utanyanyuka tena leo watt wako bas njoo PM tuone tutasaidiana vipi stahitaj pesa yako nitakupa idea vipi utapambana tena na utatoboa
 
Maisha yalivyo magumu unatoaje Milion 10 kirahisi hivi..? Bila kujua zinapo kwenda tuanzie hapo.

Alafu hii mikasa ina waandama sana wachaga.
Kuna mmoja juz juz katukanwa na shemeji yake.
Sijui yule mwamba kaishia wapi...???
 
Hii story ni ya uongo eti! Halafu haifundishi chochote katika maisha, kutokana na kukosa kwake uhalisia. Ina maswali mengi, kuliko majibu.

Mwanzoni nilifikiri ni story ya kweli! Ila baada ya kusoma mpaka mwisho, nimejiridhisha pasi na shaka! Haina ukweli wowote ule. Na kama ingekuwa ni story ya kweli, basi mhusika anastahili kabisa kuitwa bwege.
 
acha ujinga wewe, wazungu wenye akili zao wanafilisika sembuse mtu mwenye asili ya Afrika? watu wabinafsi, watu ambao mpaka leo wanapambana na ujinga, umasikini na maradhi. Acha utoto mtu myenye asili ya afrika
 
Nimesoma adi mwisho nikaona kumbe ni riwaya [emoji23][emoji23]
 
Hii ni chai. Msimuliaji na ndugu zake hawana ''chembe chembe'' za kichaga kwenye simulizi yake hata kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…