FANYA MAZOEZI YA GYM
KULA ZAIDI YA UNAVYOKULA KWA SASA
PUNGUZA MAWAZO KWA KUJIWEKA BIZE
PIGA PUSH UP 1000 KWA SIKU
MLO WAKO UWE KAMA IFUATAVYO
1.BREAKFAST....Ndizi nne, Yai nne, mkate+blueband, na maziwa
2.Pre-lunch....Maziwa kikombe kimoja, na mkate wenye blue band
3.LUNCH....Wali,nyama,parachichi,Maziwa
4.PRE-DINNER...Karanga,yai mbili,maziwa
5.DINNER...Maziwa,chungwa,wali nyama, parachichi
6.POST DINNER.....Asali,mkate,karanga,ndizi,na Maziwa
TUMIA NA PROTEIN POWDER SUPPLEMENT kama WHEAY zipo kibao ukienda kwenye supermaket kubwa
UKIFANYA HAYO YOTE BAADA YA WEEK 6UTAKUJA UNIAMBIE