wembe wa kawaida vs mashine ya umeme ya kunyolea.

mkubwa 21

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2014
Posts
442
Reaction score
118
Karibuni wadau, na watalaamu..
Je ni utalaam up unaotumika kunyolea ndevu kwa wembe kwa kutumia mkono au mashine yake na je ni kwel usababisha vipele..
na je kunatofauti yoyote kunyoa kwa wembe kawaida na mashine ya umeme?


KARIBUNI!! SANA changia kadri uwezavyo

 
Ni kweli kabisa mkuu wembe unasababisha vipele

Pia nakushauri utumie jeli ya aloevera kabla ya kunyoa nywele zako na hautatokwa na vipele. ukihitaji hiyo jeli niachie ujumbe whatsapp +255769142586
 
Ni kweli kabisa mkuu wembe unasababisha vipele

Pia nakushauri utumie jeli ya aloevera kabla ya kunyoa nywele zako na hautatokwa na vipele. ukihitaji hiyo jeli niachie ujumbe whatsapp +255769142586

Poa mkuu shukran sana, ntakucheki.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…