Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Leo katika mechi ya ugenini dhidi ya Crystal Palace , kikongwe Arsene Wenger atafikisha mechi ya 810 tangu aanze kuifundisha Arsenal kwenye Ligi kuu ya Uingereza , hii ni rekodi iliyokuwa inashikiliwa na Alex Ferguson aliyekuwa kocha wa Man U.
Kila la heri Wenger .
Kila la heri Wenger .