Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Leo katika mechi ya ugenini dhidi ya Crystal Palace , kikongwe Arsene Wenger atafikisha mechi ya 810 tangu aanze kuifundisha Arsenal kwenye Ligi kuu ya Uingereza , hii ni rekodi iliyokuwa inashikiliwa na Alex Ferguson aliyekuwa kocha wa Man U.
Kila la heri Wenger .
Sijui aseno wanasubiri nini kumu-Omog huyu mzee
Tunampa mda Mzee Wetu ajenge timu. Kwa Sasa wachezaji Bado hawajazoeana vizur. Msimu ujao tunatwaa Ndoo ya EPL, FA, na UEFA.Sijui aseno wanasubiri nini kumu-Omog huyu mzee
KWELI KAKA ME MWENYEWE GUNNERS ILA WENGER NO!!!!!!!!Abwage manyanga sasa. Kishachokwa na wapenzi wengi hata wachezaji. Wengine wanatamani sana kutinga kwenye jezi za Gunners lakini Babu hawamtaki awepo kama Kocha.
Leo katika mechi ya ugenini dhidi ya Crystal Palace , kikongwe Arsene Wenger atafikisha mechi ya 810 tangu aanze kuifundisha Arsenal kwenye Ligi kuu ya Uingereza , hii ni rekodi iliyokuwa inashikiliwa na Alex Ferguson aliyekuwa kocha wa Man U.
Kila la heri Wenger .
Fafanua kidogo mkuuHii ni rekodi ya PL tu iliyoanza 1992 na haihusishi meshi za SAF kato ya 1986 na 1992 za First division.
SAF: 1992 mpaka 2013 misimu 21
AW: 1996 mpaka 2017 misimu 21
Fafanua kidogo mkuu
Si ndio umefafanua kama hivi mkuu .Ferguson alianza kazi 1986 mpaka 2013 ambayo ni misimu 27. Kati ya hiyo misimu 6 ilikuwa wakati wa First division na misimu 21 ikiwa ya Premier league ambayo ilianza 1992.
Sijui unataka nifafanue nini tena?