Mesut Özil hakucheza mchezo wa leo sababu ya LGBT community.
Mbona Mustafi kacheza asee?Mesut Özil hakucheza mchezo wa leo sababu ya LGBT community.
Hapana alijaa kiburi, na kujiona yeye ndio kila kitu. Kisa jina lake na club linafanana!!!
Hakuna cha moto wala nini, na kombe tunachukua nakuambia!!Mlitabiliwa wapenzi wa Asenelii mtaenda peponi kwa subira. Leo mna jitutumua sasa subirini moto uwawakie.
Mkuu usijiamini sana.Hakuna cha moto wala nini, na kombe tunachukua nakuambia!!
Mechi ya Bournemouth, Unai Emery alihitaji physicality kama ulivyoona Bournemouth ni vipande vya watu, vimeshiba, vimepanda juu! Ndio sababu Özil hakuweza kumtumiaHao LGBT wamefanyaje mkuu?
Ozil hakuwepo pia game na Bournemouth, anasugua! Hata Cech anasugua sasa!
na yeye ni mwana hiyo jumuia? aubsababu hasa ni zipiMesut Özil hakucheza mchezo wa leo sababu ya LGBT community.
Shkodrani Mustafi kacheza mechi kama anavyocheza PL, issue ni Kitambaa kuunga mkono LGBTMbona Mustafi kacheza asee?
Hapana Özil anaimanii na msamamo mkali sana hawezi support ushoga kumbuka akiwa Warder Bremenna yeye ni mwana hiyo jumuia? aubsababu hasa ni zipi
good. Salah naye mifungo kibao na dua nyingi kabla hajaingia uwanjani ila anasapoti kimya kimyaHapana Özil anaimanii na msamamo mkali sana hawezi support ushoga kumbuka akiwa Warder Bremen
Kwani alikuwa captain mechi ya jana?good. Salah naye mifungo kibao na dua nyingi kabla hajaingia uwanjani ila anasapoti kimya kimya
sina uhakika sana na hiloKwani alikuwa captain mechi ya jana?
Kucheza sio issue hata Kolašinac, Mustafi, Xhaka wamecheza ila Kitambaa ni Kama unakubali ama kuridhia yes ni sawa.sina uhakika sana na hilo