Wenger muache Alexis Sanchez aende zake , anadhalilisha timu

Wenger muache Alexis Sanchez aende zake , anadhalilisha timu

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kama wewe ni mfuatiliaji wa soka na unafuatilia mechi za Arsenal hivi karibuni , basi bila shaka utakumbana na tabia za Kishamba kabisa zinazoonyeshwa na Sanchez .

Ni mchezaji anayejiona ni bora kuliko yoyote ndani ya kikosi chake , na anadhani ni bora kuliko hata kocha wake ! Ni mchezaji ambaye anamdharau kila mchezaji wa timu yake , sijui ni nani kamdanganya ?

Kwa manufaa ya timu ni heri huyu mchezaji aruhusiwe kuondoka kwenda china kama anavyotaka , Arsenal itabaki kama ilivyobaki walipoondoka wengine wakali kuliko huyu .

Ni ushauri tu .
 
Ukweli Ni Kwamba Jamaa Analipwa Hela Ya Karanga Kwahiyo Anataka Mpunga Hevi na Sio Posho ya Kunywea Gongo.....
Jamaa Lazima Ajiproud Kwasababu ndani Ya Arsenal Anaju na Hela anayopewa ni shit....
Hii mikataba inaandikwa kisheria , kama alikubali kuisaini ni lazima autumikie , Mapozi ya kishamba ya nini mtoto wa kiume ?
 
Ukweli Ni Kwamba Jamaa Analipwa Hela Ya Karanga Kwahiyo Anataka Mpunga Hevi na Sio Posho ya Kunywea Gongo.....
Jamaa Lazima Ajiproud Kwasababu ndani Ya Arsenal Anaju na Hela anayopewa ni shit....
Alipokuwa Barcelona alikuwa analipwa £40,000 kwa wiki kumbuka!
 
Mchezaji hawezi kuwa bora kuliko team. Achanganye miguu tu
 
Makombe mangapi mmechukua zaidi ya yale ya emirates tangu aondeke Henry? Au mafaniko yenu ni top 4 bac.
Hata kama hatujachukua vikombe
Sku za karbun

Tangu amekuja arsenal
Ni kipi cha maana ametusaidia
 
Wenger anamaudhi yake.. Lazima atoa mtu.. No matter what.
Ukiangalia gem nyingi hakuna hata siku moja asifanye sub. Lazima atoe mtu. Na mara nyingi anamtoa sachez.... Kama mchezaji utaudhika.. Namsaport sachez kwa hilo
 
Ukweli Ni Kwamba Jamaa Analipwa Hela Ya Karanga Kwahiyo Anataka Mpunga Hevi na Sio Posho ya Kunywea Gongo.....
Jamaa Lazima Ajiproud Kwasababu ndani Ya Arsenal Anaju na Hela anayopewa ni shit....
Kwa mpira gani!!!?
 
Kauli za kishujaa hizi, toka Henry aondoke hawajawahi Beba ndoo wameishia kuchukua jag tu!
Co ttz lakin hakuna cku
Umeskia arsenal imeanguka

Hata kabla ya huyu Sanchez
Kuja arsenal ilikua kama unavoiona
Kipi cha maana amesaidia
Mpaka aongezwe pesa
 
Co ttz lakin hakuna cku
Umeskia arsenal imeanguka

Hata kabla ya huyu Sanchez
Kuja arsenal ilikua kama unavoiona
Kipi cha maana amesaidia
Mpaka aongezwe pesa
Huyu mchezaji ana tabia za kishamba sana !
 
Back
Top Bottom