Wenger MUST GO!


Belo kwanza heshima yako mkuu!
pili mi ningeomba usimuhukumu Eboue na kumuweka kwenye kundi la machafuchafu. kumbuka eboue unayemdharau wewe alikuwa ni beki na ni nguzo imara ya gunners, but amekuja kuchuja ghafla baada ya kupandishwa juu yaani winga. kumbuka eboue yule aliyesimama imara 2006 na kuhakikisha Gaucho hapigi lelastika, el baretti wala lespardinha. alimkaba vizuri na pia aliweza kumkaba x-tia ronaldo katika kila mechi. so please naomba usimuhukumu kwa uzembe na imani mbovu za wenger za kumchezesha winga.

kuhusu denilson mi nimemuona yule dogo akiwa anaunguruma mechi mbalimbali za arsenal na timu yake ya taifa, dogo anajua mpiira belo kataa kubali dogo ni soo, hivyo kinachotakiwa ni wenger ampe majukumu kama aliyompa mfaransa mwenzie flamini kisha utaona atakavyomsuta....ni hayo tu kwa sasa
 
Andy Ducat
(Forward, 1904-1912)
Charlie Buchan
(Forward, 1925-1928)
Tom Parker
(Defender, 1926-1933)
David Jack
(Midfielder, 1929-1934)
Frank Moss
(Goalkeeper, 1931-1936)
Alex James
(Midfielder, 1929-1937)
Joe Hulme
(Midfielder, 1926-1938)
Wilf Copping
(Defender, 1935-1939)
Alf Kirchen
(Midfielder, 1935-1939)
Ted Drake
(Forward, 1934-1939)
Eddie Hapgood
(Defender, 1928-1939)
Cliff Bastin
(Midfielder, 1930-1946)
George Male
(Defender, 1930-1948)
Ronnie Rooke
(Forward, 1946-1949)
Reg Lewis
(Forward, 1937-1952)
Joe Mercer
(Defender, 1946-1954)
George Swindin
(Goalkeeper, 1937-1954)
Jimmy Logie
(Midfielder, 1939-1955)
Doug Lishman
(Forward, 1948-1956)
David Herd
(Forward, 1954-1960)
Danny Clapton
(Midfielder, 1953-1962)
Jack Kelsey
(Goalkeeper, 1949-1962)
Joe Baker
(Forward, 1962-1965)
George Eastham
(Midfielder, 1950-1966)
George Graham
(Midfielder, 1966-1972)
Frank McLintock
(Defender, 1964-1972)
Ray Kennedy
(Forward, 1969-1973)
Charlie George
(Forward, 1969-1974)
Bob McNab
(Defender, 1966-1974)
Bob Wilson
(Goalkeeper, 1963-1974)
Eddie Kelly
(Midfielder, 1969-1975)
Alan Ball
(Midfielder, 1971-1976)
Peter Storey
(Defender, 1965-1976)
John Radford
(Forward, 1963-1976)
Peter Simpson
(Defender, 1963-1977)
George Armstrong
(Midfielder, 1961-1977)
Malcolm MacDonald
(Forward, 1976-1978)
Liam Brady
(Midfielder, 1973-1980)
Frank Stapleton
(Forward, 1973-1980)
Sammy Nelson
(Defender, 1969-1980)
Pat Rice
(Defender, 1967-1980)
Brian Talbot
(Midfielder, 1978-1984)
Pat Jennings
(Goalkeeper, 1977-1984)
Tony Woodcock
(Forward, 1982-1985)
Steve Williams
(Midfielder, 1984-1987)
Charlie Nicholas
(Forward, 1983-1987)
Kenny Sansom
(Defender, 1980-1987)
Michael Thomas
(Midfielder, 1986-1991)
David Rocastle
(Midfielder, 1985-1991)
David O'Leary
(Defender, 1975-1992)
Anders Limpar
(Midfielder, 1990-1993)
Kevin Campbell
(Forward, 1987-1994)
Alan Smith
(Forward, 1987-1994)
Paul Davis
(Midfielder, 1979-1994)
Paul Merson
(Midfielder, 1986-1996)
Nicolas Anelka
(Forward, 1996-1998)
Ian Wright
(Forward, 1991-1998)
Steve Bould
(Defender, 1988-1998)
Marc Overmars
(Midfielder, 1997-2000)
Emmanuel Petit
(Midfielder, 1997-2000)
Nigel Winterburn
(Defender, 1987-2000)
Lee Dixon
(Defender, 1987-2001)
Tony Adams
(Defender, 1983-2002)
David Seaman
(Goalkeeper, 1990-2003)
Sylvain Wiltord
(Forward, 2000-2004)
Kanu
(Forward, 1999-2004)
Ray Parlour
(Midfielder, 1991-2004)
Martin Keown
(Defender, 1985-1986 & 1993-2004)
Patrick Vieira
(Midfielder, 1996-2005)
Sol Campbell
(Defender, 2001-2006)
Ashley Cole
(Defender, 2000-2006)
Robert Pires
(Midfielder, 2000-2006)
Dennis Bergkamp
(Forward, 1995-2006)
Thierry Henry
(Forward, 1999-2007)
Freddie Ljungberg
(Midfielder, 1998-2007)

hawa ndo watu wanaokumbukwa na arsenal kwa mchango walioutoa...sidhani kama tukitulia hatuwezi kupata kocha katika hiyo orodha mwenye akili zaidi ya mzee wenger
 
na jana Hleb amekutana uso kwa uso na wenger kisha akamwambia kuwa "nataka kuondoka".
so jamani tusipouanika tutautwanga mbichi
 
Kweli mkuu kuhusu EBOUE nafikiri WENGER anamkosea kumchezesha winga but SAGNA yuko juu hivyo alistahili kumpora namba EBOUE
Kweli ARSENAL wameshindwa kupata X-PLAYERS ambao wanaweza kumsaidia WENGER kazi.Vipi TONY ADAMS nilisikia ni kocha na BERGKAMP nimesikia kaitwa na VAN BASTEN akamsaidie kule AJAX
Angalia X-MANU palyers ambao ni makocha
STEVE COPELL-READING
MARK HUGHES-BLACKBURN
STEVE BRUCE-WIGAN
ROY KEANE-SUNDERLAND
LAURENT BLANC-BORDEAX
Kuna wengine wanakuja SOLSKJAER & GIGGS
 
richard mbona kiungo na beki havina tatizo?
tatizo lipo pale kwa adebayol, yaani piga ua tunatakiwa na strikers mwizi wa kuweza kupokea pasi za mwisho na kufunga, so katika beki na kiungo mi sioni tatizo

Mkuu Gang Chomba,

tatizo lipo kwenye defence yetu bwana, bado panapwaya hapo kati ya wawili hawa; Toure na Senderos, pengo lilijidhihirisha duru la pili la Premier league na Champions League. Tena bahati yao Lehnmann alinyang'anywa namba, tungeshuhudia mtu anakula makofi kama Adebayor alivyompa 'wake-up call' Bendtner!


Tatizo lipo hapo kati, Kumbuka vile vile Toure kabla ya Africa Cup of Nations alikuwa bora mara kumi kuliko baada ya kurudi toka huko Ghana,... 2nd season ALIPWAYA, huo ndio ukweli.

Hujagundua Senderos naye ana siku zake?, hana consistency, yeye ana yo-yo kama weather ya UK!. Yaani jamaa akipangwa mimi na uhakika hamalizi game ama bila yellow card, kujifunga au kutoa penalti, though kwenye siku noja moja hamna beki mzuri kama yeye, haki yake Gallas kukasirika siku ile na Birmingham.

Eboue hiyo position inamfaa sana, labda kwakuwa tulimzoea sana Ljumberg kwenye position hiyo, na yeye alikuwa mfungaji, lakini kwa Eboue kuchezeshwa hapo kunampa nafasi Sagna kupanda kusaidia mashambulizi, kuliko angechezeshwa Walcott kipindi chote ambacho Rosicky ni majeruhi!

Et'oo au Obafemi Martin ndio pekee ninaoona wanafaa kuongezwa kwenye ushambuliaji, na kama tukimpata Micah Richards kwenye Defence, mambo yatakuwa si mabaya.
 

heshima yako mkongwe!
dah kuhusu sanderous this season mi nimeona dogo katubeba sana kaka, haswa ukizingatia katika zile mechi ambazo alhaj toure alirudi africa lakini yeye alisimama imara na kila mechi tunashinda, but aliporudi toure nndo dhahma ilpoanza...hivyo mimi natetea tena swala la beki kuwa kama angekuwa anaweka chalenge yasingetokea yaliyotokea. na pia kama angeweka chalenge ni wazi kuwa kwa mtu kama sanderous nafasi ambazo amekuwa amepewa angejituma vizuri ili kupata namba ya kudumu, kuliko vile alivyoiaminisha timu moja na kupelekea kucheza "aaagh hata nikikosea namba yangu" so hayo ndo madhara. mfano mzuri ninaoweza kukupa ni kwa yule bwege flamoney jinsi alivyoaminiwa na wenger na alivyojituma mpaka ulimwengu wa gunners ulikubali kuwa dogo kamudu so muacheni aanze...NB sanderous ndiye aliyemkaba inzaghi sansiro.

kuhusu eboue kuchezeshwa winga mi habari zile ndo nazikataa kila siku. huyu mzee anapenda kujaribu vitu then vikifanikiwa anapata maujiko, but vikimchachia matokeo yake ndo yale sasa.
ni wazi kuwa hapakuwa na sababu ya kumchezesha eboue wakati mtu anafanya vizuri kwenye namba yake. hiyo hela aliyonunuliwa sagna mi naona ni bora angeichunia kisha tukaongezea ingetusaidia kipindi cha matatizo, kuliko kwenda kujaza wachezaji weengi wanaoweza kucheza namba moja ile hali namba nyingine zina matatizo.

kuhusu swala la washambuliaji mi nanyamaza kwa sasa nasubiri kuona akili za kizee za huyu mzee, na kuhusu mikah richards naungana na wewe jamaa ni jembe litatusaidia.
 
ARSENAL WAMEISHA INAVUNJIKA

 
Arsene Wenger wants to sign Atletico Madrid's 18-year-old attacking midfielder Ignacio Camacho. He could cost Arsenal £15m, even though he only played 11 times for the Spanish club. (The People)

Je ataweza kumpata huyo kijana wakati barcelona na real madrid pia wanamtaka
 
Barcelona midfielder Yaya Toure, the younger brother of Kolo Toure, is also wanted by Wenger. (The People)

Akimpata huyu kijana mabo yatkuwa poa kwa Arsenal

Arsenal could get Manchester City defender Richard Dunne for as little as £1m. (News of the World
)

Huyu anafaa achukue nafasi ya Sandreos lakini ingekuwa kiboko kama angeweza kupata Micah
 
Akimpata huyu kijana mabo yatkuwa poa kwa Arsenal

)

Huyu anafaa achukue nafasi ya Sandreos lakini ingekuwa kiboko kama angeweza kupata Micah

ujue mwanatanu soka la spain the way lilivyo linavutia kulitazama, ila sasa kwa ligi kama ya uingereza ambayo ni kukulu kakala muda wote huyo dogo anayegombewa na madrid na barca mi naona atakuja kupata tabu kama aliyopata reyes.

huyo beki wa kati wa man city pia ni shoka atatufaa sana, kwani kunapokuwa kumechafuka ugomvi huwa anauweza namkubali.

kuhusu yaya toure mi huyu dogo bado sijamkubali, ana narenare sana, kiasi kwamba mi naona hatoiweza ligi ya uingereza ambayo imejaa vichaa...ila tusubiri
 
mkuu kweli wenger ni wa kuondoka kwa hao wachezaji anaowataka sasa sizani kama ana jipya.
 
jamani eeh flamini alishaondoka, hleb majuzi, na jana usiku gilberto who is next?
na pia tuyakumbuke maneno ya mkongwe wetu Ian Wright alisema, nanukuu "you cant take premiership with teenager" mwisho wa kunukuu.
sasa je na hivyo vi academy jamani tunaweza kukimbizana na kina deco, balack, esien, makelele, lampard, obi na wengine ambao wanataraji kutua kwa wenzetu?
 


GLORY GUNNERS ... are now all goners




Wenger haendi kokote hizo ni ndoto za mchana. Katika Arsenal managers hakuna anayeshindana naye. Ni rahisi wewe kuhama JF kuliko Arsene kuondoka pale Emirates.

Fabregas contract ina attachment ya £71 million hadi 2014 etc. etc. Arsenal knows what they want.
 
Sure wakuu...mimi mi mnazi wa 'mashetani'', lakini whats is going on Emiretas grab my attention is have just happen hivi karibuni kuwauza Hleb, Gil na Flamini!!, mengi mmeshayaongea hapo juu, lakini what am getting sick with ur coach is the 'he do not learn from the past mistakes''.!!

Yaliyotokea last season kwa Ze Gunaz kupotea katika ''makombe yooote'' within ten days ni sababu tosha ya kujiuliza mara mbilimbili juu ya uhalali wa policy za Wenger!, 12 strait games withou any win!!!

SAF wa Manutd mwaka jana mara baada ya kutolewa na Ac Milan ktk nusu fainali ya CL alikiri ni thin squad kuwa ndio imesababisha wakatolewa na akarekebisha hilo kwa kusajili , AW mara baada ya kukosa kikombe chochote last season yeye alilamikia 'majeruhi' as if he was not thinking about that risk from the very genesis of the season!!, does that make sense?, soka la hivi sana if you cant spend then you cant win!, full stop!!

Nafikiri haihitaji kuwa mchambuzi mahiri kama ''Riki Abdallah'' kutegemea kuwa Ze Gunaz hawatafika mbali next season kama hatasajili..na ndugu zangu siku zote at the end of the day people remember the team who win the troophy na not the team who play 'beautiful football and win nothing'
 
juve walikuwa na lippi, na ancellotti, valencia walikuwa na cuper, madrid alikuwa del bosque...leo hii yuko wapi mourinho na zama za chelsea?
so hakuna kisicho na mwisho, na mwisho wa huyu mzee umeanza kuonekana coz hana jipya zaidi ya kutujazia watoto kama vile pale ni sunday school.
 
Wenger 'certain to make signing'

Arsene Wenger has said he is "certain" he will sign at least one more player before the start of the season.

And the Arsenal manager reiterated his belief that Emmanuel Adebayor will remain at the club, despite AC Milan and Barcelona tracking the striker.

"Adebayor is a player of Arsenal. I am very confident he will stay," Wenger told BBC London.

On the possibility of signings, Wenger added that he would make "two maximum but one certainly".

Wenger has seen midfielders Mathieu Flamini, Alexander Hleb and Gilberto leave Arsenal for AC Milan, Barcelona and Panathinaikos respectively this summer, while Samir Nasri and Aaron Ramsey have arrived from Marseille and Cardiff.

Ramsey made his debut for Arsenal as they won 2-1 at Barnet in a pre-season friendly on Saturday, with Jay Simpson and Dutch youngster Nacer Barazite scoring in the second half to cancel out Kenny Gillet's strike for the hosts.

And speaking after the match, Wenger hinted that 17-year-old Ramsey and the squad's other young players could play a key role next season.

"Ramsey did OK. He looked a bit tired because he works very hard, of course it's a big change for him, but he did OK," stated Wenger.

"He is in the plans like all the players today. It depends on the performances and their quality and you could see that some young players could be very close to the first team.
"We had two departures (last week) but two players came in so, number wise, we are level."

Arsenal have been linked with a number of players this summer, notably Aston Villa captain Gareth Barry and Zenit St Petersburg's Russian playmaker Andrei Arshavin.

Story from BBC SPORT:
 
Kwani hizi hela za usajili zinatoka mikononi mwa Wenger??? mbona anakua mbahili ivyo...au uongozi wa juu ndio wabahili...au arsenal mmefilisika..ur not competitive at all kwenye market ya wachezaje..ona sasa kila timu iko bize na serious kupata wachezaji wa ukweli ili wawasaidie kuchukua vikombe msimu ujao lakini kwa Arsenal ilo halipo......nyie ni washindani kweli????? Wenger must be serious now...!! hamna mda wa kutest zali saivi
 
wapinzani wetu wakubwa manchester wana timu nzuri na bado wanawataka kina berbatov...chelsea hali kadhalika wako fit na bado wameweka uwani deco...sasa kazi iko kwa hawa arsenal wenye mkono wa birika tunasubiri nini?...mmmh sitaki kufikiria kitakachotukuta next season
 
ndugu zangu wa arsenal nimeona hapa kocha wenu anamwambia walcot ajiamini kwa sababu msimu ujao ni wake.
kwi kwi kwi kwiiiiiiiii nisubiri vioja mie
 
ndugu zangu wa arsenal nimeona hapa kocha wenu anamwambia walcot ajiamini kwa sababu msimu ujao ni wake.
kwi kwi kwi kwiiiiiiiii nisubiri vioja mie

mkuu yule ni profesional player so usitegemee kioja, coz kama angekuwa na kioja ungeshakiona...labda utafute lingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…