Wengi huona crypto kama njia ya haraka ya kupata pesa bila kuelewa teknolojia inayoiendesha

Weka habari za ngono kama unataka wachangiaji wabongo
πŸ˜‚πŸ˜‚ Bongo watu aise Wana mchango mdogo kwenye mambo ya maana angalia threads zangu hapo uone watu wanavyo kuwa against vitu vya maana ila hope yangu ni kwamba Kuna gainers na loosers kwahiyo ni mtu aamue kuwa upande gani.

Hizi concept ukipeleka kwa wahindi na nchi za watu wenye spirit za kufanikiwa utaona strong support ila hamna namna that's my country and I have to agree with current condition.
 
Hata mimi nilisikia harufu ya kutapeliwa! Maana alivyokuwa ananifuatilia! Oooh, niambie unaweka lini hiyo hela! Nilipomwambia nimeghairi alikasirika sana! Kesho yake akanipigia tena sikupokea nakamua kwenda mazima!
How to Stay Safe
-Never trust "too good to be true" investment opportunities.
-Verify identities before sending any money or personal details.
-Use official company websites and channels to confirm legitimacy.
-Avoid clicking on unknown links or downloading suspicious files.
-Enable two-factor authentication (2FA) on your crypto accounts.
 
You did it, Thanks for the nice and amazing thread Pal.
Be blessed.
 
Usiache zitasaidia hata mtu mmoja atanufaika
 
Na
ndiko tunaelekea huko,, tayari wenzetu wanaijeria wana elimu kubwa juu ya cryptocurrency huko Asia ndio usipime wanaabudu crypto
 
Na uzee huu tunaweza kujifunza?
 
Na

ndiko tunaelekea huko,, tayari wenzetu wanaijeria wana elimu kubwa juu ya cryptocurrency huko Asia ndio usipime wanaabudu crypto
Yeah mataifa yote yalioendelea yana Elimu kubwa tumebaki tu sisi ambao hatutaki kijiingiza kwenye tech
 
Dah sema negative feedback zinaumiza sana yani unaji feel kama umeandaa kitu ambacho hakina thamani.
Hatujafika huko wabongo ukiwapa madini watakuambia motivation speaker wakati wenzetu wanalipa mamilioni kununua mentaship
 
Huwa napata uvivu sana kujifunza haya mambo.

NB: usilete masihara kwenye hela zako.
 
Hatujafika huko wabongo ukiwapa madini watakuambia motivation speaker wakati wenzetu wanalipa mamilioni kununua mentaship
Wabongo wengi tuna hii tabia sana. Hasa kupuuza vitu vya muhimu Mimi naamini hata Joel Nanauka Kuna wanao mpinga na Kuna wanao mkubali na walio kupali content zake wapo wengo wamefanikiwa na wale wapinzani wake hawana hata Senti au asset
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…