Wengi wana macho ila ni wachache wanaoweza kuona

Wengi wana macho ila ni wachache wanaoweza kuona

CARIFONIA

JF-Expert Member
Joined
Aug 17, 2013
Posts
616
Reaction score
1,453
Habari zenu waungwana, leo nimeona nifunguke hapa ili niweze kushea nanyi mambo nilyoyaona baada ya kufanya critical thinking ya hali ya juu

Natambua watu wetu wa intelejensia wameshaliona hili jambo tatizo lipo kwa watanzania wa kawaida, wengi information zao uzipata kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii

Ukweli ni kwamba haya yote yanayotokea hayatokei kwa bahati mbaya, kuna watu wamekubali kutumiwa na mabeberu ili kutuvuluga hasa katika ukanda huu wa Africa mashariki, yaliyotokea Kenya ndio wanataka yatokee Tanzania, kama utakumbuka Rais Ruto halilituhumu shirika moja la wamarekani kua walikua nyuma ya yote yaliyotokea Kenya inasemekana hao jamaa walikua ndio wasuka mipango na wafadhili wa maandamano ya Kenya.

Walijaribu kwa Mseveni Uganda ila jamaa alikua imara wakangonga mwamba, Mseveni aliwashitukia mapema.

Soma Pia: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea

Leo wanajaribu Tanzania, yes inawezekana mother alichokikosea ni the way alivyodelivery hotuba yake, na inawezakana alipanic kuona walionyuma ya haya yote ndio hayo mataifa makubwa yanayoipigia chapuo demokrasia, mama anazo information zote za kiintelijensia hivyo anajua mambo mengi.

Kuna watanzania wenzetu wanashirikiana na mabeberu kuivuruga amani ya nchi hii, sipingi watu kufanya maandamano lakini kumbukeni kama kutatokea vurugu mjue kua tunapigana sisi kwa sisi, kwani hao polisi ni ndugu zetu jamaa zetu na watanzania wenzetu hata polisi wanatakiwa kutambua hivyo
 
Habari zenu waungwana, leo nimeona nifunguke hapa ili niweze kushea nanyi mambo nilyoyaona baada ya kufanya critical thinking ya hali ya juu

Natambua watu wetu wa intelejensia wameshaliona hili jambo tatizo lipo kwa watanzania wa kawaida, wengi information zao uzipata kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii

Ukweli ni kwamba haya yote yanayotokea hayatokei kwa bahati mbaya, kuna watu wamekubali kutumiwa na mabeberu ili kutuvuluga hasa katika ukanda huu wa Africa mashariki, yaliyotokea Kenya ndio wanataka yatokee Tanzania, kama utakumbuka Rais Ruto halilituhumu shirika moja la wamarekani kua walikua nyuma ya yote yaliyotokea Kenya inasemekana hao jamaa walikua ndio wasuka mipango na wafadhili wa maandamano ya Kenya.

Walijaribu kwa Mseveni Uganda ila jamaa alikua imara wakangonga mwamba, Mseveni aliwashitukia mapema.

Soma Pia: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea

Leo wanajaribu Tanzania, yes inawezekana mother alichokikosea ni the way alivyodelivery hotuba yake, na inawezakana alipanic kuona walionyuma ya haya yote ndio hayo mataifa makubwa yanayoipigia chapuo demokrasia, mama anazo information zote za kiintelijensia hivyo anajua mambo mengi.

Kuna watanzania wenzetu wanashirikiana na mabeberu kuivuruga amani ya nchi hii, sipingi watu kufanya maandamano lakini kumbukeni kama kutatokea vurugu mjue kua tunapigana sisi kwa sisi, kwani hao polisi ni ndugu zetu jamaa zetu na watanzania wenzetu hata polisi wanatakiwa kutambua hivyo
Je ktk watu waliotekwa makosa yao ni yapi?

Je watekaji ni kundi lipi je ni SSIT, PCc, CCM, chadema au nani?
Kwa nini wanaotekwa ni wapinzani tu?
 
Habari zenu waungwana, leo nimeona nifunguke hapa ili niweze kushea nanyi mambo nilyoyaona baada ya kufanya critical thinking ya hali ya juu

Natambua watu wetu wa intelejensia wameshaliona hili jambo tatizo lipo kwa watanzania wa kawaida, wengi information zao uzipata kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii

Ukweli ni kwamba haya yote yanayotokea hayatokei kwa bahati mbaya, kuna watu wamekubali kutumiwa na mabeberu ili kutuvuluga hasa katika ukanda huu wa Africa mashariki, yaliyotokea Kenya ndio wanataka yatokee Tanzania, kama utakumbuka Rais Ruto halilituhumu shirika moja la wamarekani kua walikua nyuma ya yote yaliyotokea Kenya inasemekana hao jamaa walikua ndio wasuka mipango na wafadhili wa maandamano ya Kenya.

Walijaribu kwa Mseveni Uganda ila jamaa alikua imara wakangonga mwamba, Mseveni aliwashitukia mapema.

Soma Pia: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea

Leo wanajaribu Tanzania, yes inawezekana mother alichokikosea ni the way alivyodelivery hotuba yake, na inawezakana alipanic kuona walionyuma ya haya yote ndio hayo mataifa makubwa yanayoipigia chapuo demokrasia, mama anazo information zote za kiintelijensia hivyo anajua mambo mengi.

Kuna watanzania wenzetu wanashirikiana na mabeberu kuivuruga amani ya nchi hii, sipingi watu kufanya maandamano lakini kumbukeni kama kutatokea vurugu mjue kua tunapigana sisi kwa sisi, kwani hao polisi ni ndugu zetu jamaa zetu na watanzania wenzetu hata polisi wanatakiwa kutambua hivyo
Chadema ni watu wa kuogopwa sana .Hawaaminiki wale.
 
Historia ni somo gumu sana kwenu vihiyo, serikali hizi zenyewe ni vibaraka, mabeberu hawahitaji kuleta instability yoyote ili kupata watakacho, Hayo unayoyaongelea huwa yanatokea kwa viongozi ambao ni “Nationalists” Ukimpima kiongozi wako yeyote unamuona ana chembe chembe za utaifa? Hawa si ndio kutwa wapo angani huku na kule humo? Kuwa serious basi.

Hii shairi la mabeberu litumie kwenye social platforms zingine, humu unatuchukuliaje?
 
Back
Top Bottom