Wengi Wanao Ugua Mafua Yasiyoisha Si Wasafi Majumbani Kwao

Mafua Kila Siku Haya Ishi.Nyumba Ina Mavumbi Mibox Ya Nguo Ya Tangu Mwaka 1990 Imo Ndani Viatu Vya Tangu Utoto Vimo Ndani Kwanini Usiugue Mafua?

Unaweza ukawa unaishi kwenye nyumba safi lakini mafua yakakupata tu.
Mafua yapo kwa ajili ya sisi maskini wala vumbi watu Wa pilikapilika tunaoshinda kwenye misongamano ya watu.
 
Ha ha ha ha ha ulivyoandika utadhani umemlenga mtu m1 tena unayemfahamu vizuri.
Watu wengi wanadhani uchafu ni vile vinavyonuka nuka tu, LA hasha uchafu ni kitu chochote kinachowekwa/kaa pasipo stahili.
Hilo vumbi linapokuwa shambani siyo uchafu Ila pindi linapopatikana ndani ya Nyumba tayari ni uchafu. Unapokaa /hifadhi kitu pasipo kukitumia muda mrefu pia ni uchafu. Vifaa/Nguo usizokuwa na mpango Wa kuzitumia unazitunza za nini.????, gawa au choma moto.. Na kama unataka kuzitunza knn uziweke nje mbali huko kwenye stoo maalum ya kutunzia?.


Unakuwaje na Mafua kwa siku 365?????....hata mwenyewe allergy akikijua kinachomletea allergy anajiepusha nacho.
Usafi Wa mwili na mazingira ni muhimu sana.
 
Kuna kijana hapa ofisini kwangu anamafua unakaribia mwezi sasa alhamisi aliniambukiza nikatumia piriton leo nimekuja mafua yamepona kabisa.

Nimemwambia asiingie ofisini kwangu mpaka apone hayo makamasi yake yasije kuwa mafua ya ndege.
 
Kuna kijana hapa ofisini kwangu anamafua unakaribia mwezi sasa alhamisi aliniambukiza nikatumia piriton leo nimekuja mafua yamepona kabisa.

Nimemwambia asiingie ofisini kwangu mpaka apone hayo makamasi yake yasije kuwa mafua ya ndege.
Acha ubinafs punda ww ngoja nimwambie boss akufukuze kazi
 
Mashuka hufui.. deki hupigi.. tegemea mafua yasiyopona!!
 
NAKATAA KWA HERUFI KUBWA...mi msaf kichiz lakn hyajawah kuisha
 
Maelezo meeeeengi hakuna ukweli wowote.Fanyeni utafiti kabla ya kuja na conclusion.
 
[HASHTAG]#cmp[/HASHTAG] Peleka Hela Ya Watu Buchani Nimekudhamini Hutaki Kulipa
 
Kwahiyo mafua ya ndege yanapona kwa piriton?Duh.
 
wapo ambao wana allergy, kuna wengine kila asubuhi lazima apige chafya kama 800 hivi na makamasi yamtoke ila ikifika muda flan anakuwa poa
 
Acha ubinafs punda ww ngoja nimwambie boss akufukuze kazi
Hivi unafikiri wote wanamabosi wewe nguruwe. Subiri siku uje na kacheti kako fake halafu ndio utajua kuheshimu watu hata kama hauwajui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…