Some will say, kwa kukaa kwako mbali na familia ni katika kuipa kipaumbele familia hiyo
Inategemea Mbu... It is not all black and white... inatakiwa as a parent uwe really Great at balancing priorities....
Pole, Mbu familia bila pesa ni kelele kila siku nenda kafanye kazi chunga usije jenga kibanda huko ukaja lalama ukisha pigwa ban na mama mpigi ukisingizia JF tulishauri. Dereva mzuri ni yule anayechunga usalama wa abiria yake.
Alafu kwenye poll ungetuwekea both Mbu.... Hapo umetufunga kweli yaaani....lol
familia ni muhimu na kipato muhimu pia.....
katika maisha kuna kujisacrifice,kuna wakati inabidi kukaa mbali na familia ili kutafuta kipato cha kustawisha familia. hivyo mie naipa 50% -50% !!! kwangu mie hili linawezekana kama kila mmoja kwenye familia anajitambua, na anatambua sababu ya baba au mama kuwa mbali na familia, mfano baba yupo mwanza kikazi ili kuwezesha familia kustawi, na likizo inapopatikana baba huyo huitumia kikamilifu na familia.
sijui kama nimekujibu sawia au ndo nimekumix
by the way, nimeshindwa kuchagua hapo kwenye poll maana kwangu vyote vinauzito sawa kutegemeana na hitaji la wakati husika
"First, I was dying to finish my high school and start college.
And then I was dying to finish college and start working.
Then I was dying to marry and have children.
And then I was dying for my children to grow old enough so I could go back to work.
But then I was dying to retire.
And now I'm dying.
Suddenly I realized that I forgot to live.
Don't let this happen to you.
Appreciate your present situation.
Enjoy each day..old friend.
so kama huna kipato hutokuwa na familia?kipato kwanza,familia ndo inafuata
...asante dear sister, ila bado umeniacha njia panda...chukulia mfano ingekuwa ni wewe....ungeamua nini?
(ondoa utegemezi wa spouse hapo)
so kama huna kipato hutokuwa na familia?
mmh inategemea boss wengine wana vipato na family ziko unhappy vile vile, hapo vp.?unhappy familly....kitu abacho sio kizuri
sasa mosquito kipato si kwa ajili ya familia? mimi naona hivi vitu viko parallel to each other
maana bila familia usingeitaji kipato
na kipato ndo kinajenga familia
kipato kwanza,familia ndo inafuata