Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,861
- Thread starter
-
- #21
Kuna wakati ilinibidi niwe mbali na familia kwa sababu ya shule. Kule nilipokuwepo nilionekana mama mbaya sana kwa sababu niliacha watoto wadogo, nikaenda kutafuta shule. Lakini mimi wakati nafanya hivyo, nilikuwa nafanya kwa ajili ya familia!
Japo umesema kazi, lakini naona inaendana pia hata mambo ya shule, kwa sababu tunaongeza elimu ili pia kipato kiongezeke, japo sio siku zote! Sijaweza kujibu swali kwa sababu vyote muhimu kwangu!
....Keren_Happuch wala hujakosea, ndio maana nikajisemea niwaulize nyie wenzangu kwa experiences zenu ila,
issue hii kidogo ni tofauti na 'shule' iwe ni college, au university ambayo ni short term, iwe ni 6mths, 1yr au 3yrs...
...kazi kidogo ni tofauti, kwani inaweza ikawa ni 5yrs- 10yrs contract, ....au kama ndio 'maboksi,' miaka 15 sasa kuna watu hawajarudi makwao, ...wazee, ndugu jamaa na marafiki, wanaoa, wanaugua na wanaokufa wao wanatuma pesa tu za shughuli...!