"Wengi Wape"...Uamuzi Mzito

umuhimu wa kwanza ni...


  • Total voters
    40

Nakubaliana nawe Mkuu DC. Kuna thamani kubwa sana ya kuwa pamoja na familia yako ambayo bahati mbaya hatuwezi kui-quantify thamani yake kwa kutumia currency yoyote ile duniani. Hivyo kama nilivyopiga kura chaguo la kwanza ni familia.
 
Mi masikini mkosefu... money does not make happiness, but it can contribute largely on buying it. 🙂


Mwali I completely agree with you.... But naomba ujue kua hata Lack of money can destroy happiness ndani ya nyumba... Hata kama familia wapendana na kushirikiana vipi kama hamna kabisa pesa ya kujitosheleza in the long run, tabia ambazo tumejaliwa na Mungu huanza ku sip thru.... Vitu kama selfshness, wivu, uchoyo huanza kujitokeza taratibu... Kitu ambacho chaweza vunja amani kabisa ndani ya familia.... Na ukiangalia sababu za msingi ni Lack of money or sufficient money....
 
Umenifurahisha hiyo homesickness ya kujifunika gubigubi na kuji-isolate. I thought I was abnormal,lol!
Sasa hapo kwenye punda,tafadhali jirejeshe kwenye ule uzi wako wa 'dying to live', na ujiulize lini utaweza kuishi like a king! Moskwito, jana nilienda ku-donate blood kwa ajili ya rafiki, he is not even 30 yrs old and has leukemia! Mfalme wewe sijui utaanza kufurahia lini, there must be a stop!
 

Madame KH, kuwa mbali na familia kwa kipindi cha miaka 5 mpaka 10 ni kipindi kirefu sana kusema kweli na unaweza ukaingia kwenye majaribu mazito sana. Kama ndio unaiona familia kila baada ya miezi 6-8 (kwa mwezi mmoja) basi katika kipindi cha miaka 10 utakuwa umeiona familia yako kati ya miezi 15 mpaka miezi 20.
Inahitaji moyo sana maana hata inaweza kuwa chanzo kikubwa kwa ndoa kuvunjika. Watu wanaishi nyumba moja bado kuna matatizo chungu nzima katika mahusiano, sasa fikiria kuishi mbali mbali kwa muda wa miaka 10 au hata zaidi na kuonana kila baada ya miezi 6 mpaka minane tena kwa mwezi mmoja tu!!!!! Mie sikubaliani na hili.
 
Kwangu mimi familia inakuja kwanza, labda kwa sababu watoto wangu bado ni wadogo(under 10 yrs) siwezi kuwaacha niende mbali kisa kazi, nitajaribu kutafuta jinsi nyingine ya kuongeza kipato mf. biashara or somethng ili kuitosheleza familia.
 

BAK, nakubaliana na wewe kabisa, kwa kweli lazima familia iwe ya kwanza!

Have a blessed day!
 
Familia na kipato haviko katika mizania moja.
Familia ina-overule kipato, familia inaweza kufanya maamuzi ya aina na eneo la kipato.
Kama familia ama mazingira ya familia yanamruhusu baba/mama kwenda kuwajibika mbali nao, basi na aende, sivyo atafute njia nyingine, hata ya kipato kiduchu.
Babu DC kasema vema, familia ni second to none.
 

...dahhh, am speechless kaka...na kweli, katika miaka kumi na mbili nikijumuisha najikuta nimeishi na familia siku 365 tu!
 
Reactions: BAK

...mnh, wazo zuri sana.
 

...pheewww! na magonjwa au kifo hayapigi hodi kusema nijicheleweshe kidogo kufungua...



...sasa hizo calculated risks ndizo zinazonisumbua kichwa! "...acha tawi kamata tawi"...,
mpaka sasa nisha over do it..kilichobakia ni ku repair the damage.
 

....am a living proof, earning loads lakini zimenifanya mtumwa...
familia haina furaha, nami sina furaha...Be Blessed dada zangu.

I hope maamuzi yangu hayawi influenced kwa ninayotaka kuyasikia,
bado nakaribisha proposing & opposing arguments.
 
....am a living proof, earning loads lakini zimenifanya mtumwa...
familia haina furaha, nami sina furaha...Be Blessed dada zangu.

I hope maamuzi yangu hayawi influenced kwa ninayotaka kuyasikia,
bado nakaribisha proposing & opposing arguments.

familia haina furaha hebu kakae nayo muangaline uone itakavyoanza kuleta dharau. Kipato kwanza bana kha
 
familia haina furaha hebu kakae nayo muangaline uone itakavyoanza kuleta dharau. Kipato kwanza bana kha

...huwa najiuliza ni lini inafikia kikomo cha kusema sasa kimetosha.
Naamini ni majukumu tu yanabadilika.
 

kwa wale ambao wanaongozwa na maono ya walio wengi i.e wengi wape, na ambao maisha yanakwenda kama desturi, i mean kawaida kwao inakuwa sheria, wana haki ya kusema familia kwanza.

Kwa maisha ya sasa, kwa mtu mwenye discipline ya kuhahakisha amewekeza vya kutosha kabla ya kustaafu na kumuwezesha kustaafu mapema bila kujeorpadise welfare ya familia yake, ataweka kipaumbele kwenye KIPATO.
 
Reactions: Mbu
....am a living proof, earning loads lakini zimenifanya mtumwa...
familia haina furaha, nami sina furaha...

I hope maamuzi yangu hayawi influenced kwa ninayotaka kuyasikia,
bado nakaribisha proposing & opposing arguments.

kwa wewe uliye na kipato cha kutosha, kitumie na familia sasa, it is right time. Ila kwa wale ambao bado wanabangaiza, kipato kwanza.
 
Reactions: Mbu
AshaDii, mimi na wewe tumesewa sawa. Kwanza hapo juu nimemwambia The Boss kua kuna minimum (baba na mama wanadecide hiyo minimum yao). ila mtu akisha kua na hiyo minimum anatakiwa aipe familia kipaumbele. Akiendelea kutafuta pesa na kuitupa familia basi anajitafutia yeye mwenyewe.
Tena nikarudi kusema kua money is not happiness, but it contributes largely (na ndio umesema hapo juu naona)
Hivi unajua umasikini sio ukosefu wa pesa tu? mi nadhani ni 30% ukosefu wa pesa, na 70% poverty culture. ha hiyo ni alama kubwa kiasi kwamba hata ukija kupata hela baadae badu unakua na mawazo ya kimasikini masikini, unaashindwa kua na familia, pia ukashindwa kuzienjoy.
 
Pesa mwanaharamu! ni lini itafika mwisho useme sasa zimetosha????, kipato muhimu na familia muhimu, uwe mbali na familia kwa malengo na muda mtakaokubaliana.
 
Reactions: Mbu

...mnh, hii inategemea pia na tabia ya mtu kwenye hizi extended families za kibantu, ....unawekeza "vya kutosha"
(kila mmoja na tafsiri yake) lakini ujue ndugu, jamaa na marafiki nao wanakutazama kwa jicho la mkombozi wetu.



...mwali, unatoa ujumbe mzito sana I hope kuna wengine wataofaidika na mtazamo wako.
Hiyo athari ya poverty culture "a strong feeling of marginality, of helplessness, of dependency, of not belonging" dahhh!, asante sana.
 
kipato kwanza
as long familia ipo,ukiwa na kipato kizuri unaweza kuwahamishia huko uliko,
 
Reactions: Mbu
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…