Wengi wetu hatujuwepo sijui hii, 09/12/1961

Halafu baadae akaja kushtakiwa kwa kosa la uhaini.
Nchi nzito sana hii.
 
Halafu baadae akaja kushtakiwa kwa kosa la uhaini.
Nchi nzito sana hii.
Aliungana na Kambona baadae waliona Eagle ya Julius is too big. Sitaki hata kukumbuka yaliyompta. Ngoja tufurahie uhuru.
 
Aliungana na Kambona baadae walimuona Eagle ya Julius is too big. Sitaji hata kukumbuka yaliyompta. Ngoja tufurahie uhuru.
Zama zile kulikua na siasa za maji taka kuliko hata kipindi hiki.
Historia ya hii nchi imechezewa chezewa sana.
 
Mimi nilikuepo. Kwenye siasa hakuna adui wala rafiki wa kudumu.
 
Mambo ya zidumu fikra za mwenyekiti,
Mchonga alikua hataki kukosolewa, na ukithubutu kumkosoa utaundiwa zengwe mpaka utajuta,
Yeye alijiona ni mkamilifu wa kila kitu yaani watanganyika wote akili zetu zikijumlishwa kwa pamoja zilikua hazifikii hata nusu ya akili yake.
Mzee alikua nuksi sana yule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…