Mgombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Ezekia Wenje ameulizwa kuhusu takwimu za madai ya ubadhilifu wa fedha za mkakati wa 'Join the Chain' ambazo alizitoa katika mkutano na waandishi wa habari wiki iliyopita.
Akijibu swali hilo, Wenje amesema aliainisha yaliyofanyika nyuma ya pazia na sio kutoa takwimu kama muuliza swali alivyosema.
Wenje amesema hayo Jumanne Januari 21, 2025 akiomba kura katika uchaguzi wa chama hicho unaofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam ni 'Nguvu ya umma'
Msingi wa hoja hiyo ni baada ya Katibu Mkuu wa chama hicho, John Mnyika kulitolea ufafanuzi suala hilo lililoibuliwa na Wenje wiki iliyopita, akidai mkakati huo ulikuwa wa kumpindua Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe.
Mgombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Ezekia Wenje ameulizwa kuhusu takwimu za madai ya ubadhilifu wa fedha za mkakati wa 'Join the Chain' ambazo alizitoa katika mkutano na waandishi wa habari wiki iliyopita.
Akijibu swali hilo, Wenje amesema aliainisha yaliyofanyika nyuma ya pazia na sio kutoa takwimu kama muuliza swali alivyosema.
Wenje amesema hayo Jumanne Januari 21, 2025 akiomba kura katika uchaguzi wa chama hicho unaofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam ni 'Nguvu ya umma'