Bado hujasema, mpaka useme. It is Tundu Lissu vs MBOWE +CCM+ Govt+ ACT Wazalendo + Polisi + TissView attachment 3204120
Mgombea wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti Ezekia Wenje amepiga mahesabu yanayoonyesha kuwa Freeman Mbowe ataibuka na ushindi mkubwa dhi ya Tundu Lissu katika uchaguzi wa Mwenyekiti wa CHADEMA kwa taifa unaotegemewa kufanyika hivi karibuni. Kwa kujiamini amesema katika wenyeviti wa kanda nane, tisa wamejitokeza hadharani kumuunga mkono Mbowe na kwa upande wa mikoa, wenyeviti wa mkoa watatu tu ndio hawamuungi mkono Mbowe.
View attachment 3204120
Mgombea wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti Ezekia Wenje amepiga mahesabu yanayoonyesha kuwa Freeman Mbowe ataibuka na ushindi mkubwa dhi ya Tundu Lissu katika uchaguzi wa Mwenyekiti wa CHADEMA kwa taifa unaotegemewa kufanyika hivi karibuni. Kwa kujiamini amesema katika wenyeviti wa kanda nane, tisa wamejitokeza hadharani kumuunga mkono Mbowe na kwa upande wa mikoa, wenyeviti wa mkoa watatu tu ndio hawamuungi mkono Mbowe.
Unatamani akuoe dadeki 😂Njaa itaniua, napiga miayo tu, na kwenye chama mnitoe?ntakula wapi?
View attachment 3204131
Kanda ziko 9 katiika hizo mwenyekiti mmoja anamuunga mkono Lisu na 8 wanamuunga mkono MboweHebu nisaidieni kwenye hii hesabu
Kanda nane ila wenyeviti tisa.
Kivipi?
OP kaandika nane. Hapa sasa ni sawaKanda ziko 9 katiika hizo mwenyekiti mmoja anamuunga mkono Lisu na 8 wanamuunga mkono Mbowe