Wenje: Kati ya wenyeviti wa kanda (8) kati ya (9) wanamuunga mkono Mbowe, viongozi wa mikoa (3) tu nchi nzima ndio wanamuunga mkono Lissu

Cannabis

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2014
Posts
11,557
Reaction score
33,535
Your browser is not able to display this video.


Mgombea wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti Ezekia Wenje amepiga mahesabu yanayoonyesha kuwa Freeman Mbowe ataibuka na ushindi mkubwa dhi ya Tundu Lissu katika uchaguzi wa Mwenyekiti wa CHADEMA kwa taifa unaotegemewa kufanyika hivi karibuni. Kwa kujiamini amesema katika wenyeviti wa kanda nane, tisa wamejitokeza hadharani kumuunga mkono Mbowe na kwa upande wa mikoa, wenyeviti wa mkoa watatu tu ndio hawamuungi mkono Mbowe.
 
Ccm material huyu; ukiona mtu anapingana na ukweli, Mara nyingi ni Ccm material
 
Njaa itaniua, napiga miayo tu, na kwenye chama mnitoe?ntakula wapi?
 
Bado hujasema, mpaka useme. It is Tundu Lissu vs MBOWE +CCM+ Govt+ ACT Wazalendo + Polisi + Tiss
 
Hebu nisaidieni kwenye hii hesabu

Kanda nane ila wenyeviti tisa.

Kivipi?
 
SImba/Lissu anawatesa sanas
 
Hebu nisaidieni kwenye hii hesabu

Kanda nane ila wenyeviti tisa.

Kivipi?
Kanda ziko 9 katiika hizo mwenyekiti mmoja anamuunga mkono Lisu na 8 wanamuunga mkono Mbowe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…