Wenje na Chief wanaongelea makubaliano chadema na polisi juu ya maandamano yao

Wenje na Chief wanaongelea makubaliano chadema na polisi juu ya maandamano yao

Uchumi TV

Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
33
Reaction score
31
Katika mahojiano yaliyofanywa kati ya kituo kimoja cha TV mtandao na kiongozi wa Chadema kanda ya ziwa Ezekiel Wenje na chief kalumuna wa chadema kagera ni kywa wamekubalina na polisi juu ya kulinda maandamano yao ya april 22 mjini bukoba na kuwa njia walizoruhusiwa kupita ni kutoka kashai kupitia mjini Bukoba hadi uwanja wa uhuru ambapo mwenyekiti wa chadema atahutubia pamoja na kuyaongoza.


View: https://www.youtube.com/watch?v=Rr_Ga_ouKRo
 
Katika mahojiano yaliyofanywa kati ya kituo kimoja cha TV mtandao na kiongozi wa Chadema kanda ya ziwa Ezekiel Wenje na chief kalumuna wa chadema kagera ni kywa wamekubalina na polisi juu ya kulinda maandamano yao ya april 22 mjini bukoba na kuwa njia walizoruhusiwa kupita ni kutoka kashai kupitia mjini Bukoba hadi uwanja wa uhuru ambapo mwenyekiti wa chadema atahutubia pamoja na kuyaongoza.


View: https://www.youtube.com/watch?v=Rr_Ga_ouKRo

Erythrocyte please and pleae agenda ya KIKOKOTOO ipe nafasi kubwa pia kam agenda za katiba etc. hii ni muhimu! Imewagusa watu sana....ikazie kwenye mikutano
 
Back
Top Bottom