Wenye Akili Kubwa hapa JF tulipowaonyeni Yanga SC kuwa msiwasajili Wachezaji ambao Simba SC tumewaacha mlitudharau je, mmeshatuelewa sasa?

Wenye Akili Kubwa hapa JF tulipowaonyeni Yanga SC kuwa msiwasajili Wachezaji ambao Simba SC tumewaacha mlitudharau je, mmeshatuelewa sasa?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kuna muda GENTAMYCINE japo najulikana na sifichi kuwa Mimi ni mwana Simba SC kwa 100% huwa naweka pembeni Utani wangu kwa Yanga FC na kuwa Mkweli na Mwanamichezo ila wana Yanga FC Walioanza Kufuatilia Mpira kipindi cha Kocha Jose Mourinho alipokuwa na Chelsea yenye Mafanikio huwa ama hawanielewi au wanajilazimisha tu Kutonielewa.

Yaani kabisa Simba SC niijuayo Mimi imuache / imteme Mchezaji baada ya Kumuona hafai halafu afae Kwako? GENTAMYCINE nilisema hapa hapa JamiiForums kuwa Sajili zote za Yanga FC kwa Wachezaji waliotokea Simba SC (hasa kwa Kutemwa / Kuachwa) zilikuwa ni za Kimihemko zaidi na kamwe hazikuwa za Kiufundi nilitukanwa na kupuuzwa sana hapa. Je, leo niliyoyaona Kitambo hayajatimia?

Mimi ndiyo GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" Oky?
 
najuuliza Mwamnyeto wanamwachia lini maana tangu wajue ni mwanasimba anasugua benchi...... Wamwache tu... Naskia waligoma hata kumtia Kwa mkopo kwenda Kwa mwigulu wakitaka asugue benchi Hadi kiwango kishuke kabisa wamteme.....!!!!
 
Back
Top Bottom